Sijajua kwanini waliicancel labda budget yake!.. ila hilo jina Traveller ndio rafiki yao wa 3 aliyewaset jamaa!..
Ni kisa simple but very well presented, mna rafiki yenu mnasoma wote, yeye hapendi picha!!.. Miaka yote mnasoma nae mkija angalia mnakuta hamjawahi kumpiga picha sura yake kila sehemu lazima alijiziba uso hadi club!.
Halafu yamewakuta na yeye ndio anaweza watetea ila hamna jinsi ya kumpata wala kutangaza kapotea zaidi ya maelezo tu!.