Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,191
Series kali kuliko zote kwangu ni hii inaitwa TRAVELLER ilikuwa miaka ya 2007-2010 i guess.
Kisa chake madogo watatu wanaosoma chuo flani waliamua kwenda furahia siku ya graduation yao kwenye Museum. Kufika kule mwenzao mmoja akawapa challenge wafanye rollerskating ndani ya ile museum kutoka nje wasipokamatwa anawapa hela, wale madogo wawili kweli wakaamua kuroll huku wakikimbizwa na polisi wa jengo!.
Kufika nje ya jengo wanafurahia wameshinda nyuma jengo linalipuka (Act of terrorism). Na FBI wanaporeview security tapes inawaonyesha wao ndio wahusika thus wanageuka most wanted people in USA!. Madogo wanapodakwa wanajitetea wao walikua wanafanya challenge na wenzao tu, polisi kutaka wamtaje mwenzao wa 3 wanakuta hata chuo hakujawahi kuwa na huyo mtu na picha zao zote walizokuwa wakipiga yule mwenzao alikuwa anajiziba sura so hawana ushahidi wa kuwapa FBI.
Wazazi wa watoto ni matajiri balaa lakini wanajua maji waliyoingia wale watoto ni makubwa inabidi baba zao wawaambie 'imekula kwao, hawawezi saidika' lile ni deal toka Top Level.
Hii series ilipelekwa on air season 1 tu ikawa cancelled but it was mostly entertained kuona madogo wanavyohangaika kuwakimbia FBI, Homeland, LAPD, Assassins na huku wakijaribu kumtafuta mwenzao wa 3 (wil traveller) aweze wasaidia!.
Kisa chake madogo watatu wanaosoma chuo flani waliamua kwenda furahia siku ya graduation yao kwenye Museum. Kufika kule mwenzao mmoja akawapa challenge wafanye rollerskating ndani ya ile museum kutoka nje wasipokamatwa anawapa hela, wale madogo wawili kweli wakaamua kuroll huku wakikimbizwa na polisi wa jengo!.
Kufika nje ya jengo wanafurahia wameshinda nyuma jengo linalipuka (Act of terrorism). Na FBI wanaporeview security tapes inawaonyesha wao ndio wahusika thus wanageuka most wanted people in USA!. Madogo wanapodakwa wanajitetea wao walikua wanafanya challenge na wenzao tu, polisi kutaka wamtaje mwenzao wa 3 wanakuta hata chuo hakujawahi kuwa na huyo mtu na picha zao zote walizokuwa wakipiga yule mwenzao alikuwa anajiziba sura so hawana ushahidi wa kuwapa FBI.
Wazazi wa watoto ni matajiri balaa lakini wanajua maji waliyoingia wale watoto ni makubwa inabidi baba zao wawaambie 'imekula kwao, hawawezi saidika' lile ni deal toka Top Level.
Hii series ilipelekwa on air season 1 tu ikawa cancelled but it was mostly entertained kuona madogo wanavyohangaika kuwakimbia FBI, Homeland, LAPD, Assassins na huku wakijaribu kumtafuta mwenzao wa 3 (wil traveller) aweze wasaidia!.
Last edited: