Habari wakuu, simu yangu internal space ni 8gb, na extenal ni 5gb,internal space imebaki kama mb250 ila extenal ina zaidi ya mb600 lkn nikidowload app yoyote play store yenye space ya mb200 au chini ya hapo inaandika not enough space, hapo imekaaje wakuu na ninawezaje kuexpand space zaidi?