Waandishi walisema jamaa ilikua lazima afe ili series iendelee kwasababu walikua wamebase kwake na stori zake zote zilikua zimeisha. Walitaka wafanye jamaa afungwe alafu Carrie aje amtoroshe, ila wakaona akishatoroshwa watakosa stori za kumuendeleza, ikabidi wafanye afe tuu ili sasa stori ihamie kwa characters wengine kina Carrie, Saul, Quinn na wengineo.
hawa sijui vipi, very pathetic, si angenyongwa kwenye Season ya 6 huko, ndo alikuwa ananogesha hii Series, nimepata naweka next ili nimuone mshikaji lakini wapii