Series (Special thread)

Mkuu hii 1337x. unatumiaje, mbona sijaielewa, Series nashindwa kuziona, naomba unielekeze
Hakikisha una torrent client kama utorrent, ingia kwa iyo site 1337x.to ,kuna sehemu ya kusearch, andika jina la series unayoitafuta, isearch, kisha zitakuja list ya series uliyoitafuta, chagua yenye quality kulingana na matumizi yako, ukubwa mdogo wa mb na seeders nyingi, alafu ukishachagua, itafunguka na download tab itatokea, ukishadownload torrent file, lifungue kwa kutumia utorrent tayari kwa kupakua series yako.
 
Install u torenti kwanza.
Ila hiyo web inakupa option ya search

thanks, lakini naomba link au nielekeze jinsi ya kuipata hiyo U torenti maana Naskia ipo locked, nlishindwa kuitumia kitambo sana nkawa natumia 02tv Series, pia Series nyingi Hamna, Mkuu embu nielekeze matumizi yake hii

thanks
 

thanks Mkuu lakini naomba link ya kushusha u torenti client au torenti sababu huwa Inanshind hasaaa, Then ukishadownload torrent file na ku search movie kwenye torrent, je itaku direct moja kwa moja kwenye movie katika 1337 X toau inakuwaje, yani uhusiano kati ya u torenti client na 1337 X to ni upi hasa

thanks
 
Kama ni simu ingia playstore search utorrent, idownload, kama ni pc ingia website ya utorrent.com download utorrent ya pc, ukishakua na utorrent kwa kifaa chako ingia 1337x.to tafuta series unayoitaka, download file lake, kisha lifungue ilo file kwa kutumia utorrent, hapo unakua umemaliza kazi na utorrent itakushushia mzigo wako.
 
Wakikujibu na mimi uniquote..
Maana natafuta subtitle kinoma niko na lastship hapa s4 lkn bila subtitle kuna utamu nakosa
Njia rahis sana kupitia terrerium yv kiboko ya app yyte ktk kudownloud movie na series,,kuna opp ya kuweka subtittles unapopenda

Wakikujibu na mimi uniquote..
Maana natafuta subtitle kinoma niko na lastship hapa s4 lkn bila subtitle kuna utamu nakosa
Njia rahis sana kupitia terrerium yv kiboko ya app yyte ktk kudownloud movie na series,,kuna opp ya kuweka subtittles unapopenda
 
Nashangaa wanavyo hangaika na zingine
 
Baada ya kuangalia last ship na punisher

Nataka kidownload series nyingine sasa nimekutana na hii "the unit" ya kitambo kama 2009 .
Kwa aliyekwisha iona ikoje???
Ni kali sana??
 



Tumesubir sana wacha zikuje tena,jaman ipi inabamba niipakue maana the Strain nmemaliza tayar
 
Baada ya kuangalia last ship na punisher

Nataka kidownload series nyingine sasa nimekutana na hii "the unit" ya kitambo kama 2009 .
Kwa aliyekwisha iona ikoje???
Ni kali sana??
Sio ya kuhoji. The unit ni habari nyingine ila ni ya kitambo...
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…