Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kuna series kali kama
1. Queen of the South
2. Marvels Dare Devil
3. Into the badland
4. The Underground
5. Gotham
6.Leather Weapon
7. 24Legancy
 
Kuna watu wamesema ni nzuri, lakini mimi sijaipenda kwa kweli. Movie zenye uongo mwingi usio wa kufikirika siuhitaji kabisa...
Mimi sijaipenda na nimeishia episode 1 tu.
Lakini kuna balques huko anameza watu kwenye papuchi yake, take care
Shukrani
 
Ilinishinda hata episode moja sikumaliza.
Ukipata time icheki tena.. Me mwenyewe nilianza kwa kususua cz jamaa alikua peke yake alikua anazingua.. Ila kuanzia episode ya 2 au 3 idadi yao inaanza kuogezeka na hapo ndo inanoga.

Trust me u will enjoy.. Inafurahisha sanaaaaa especially if you are a good listener.
 
Ukipata time icheki tena.. Me mwenyewe nilianza kwa kususua cz jamaa alikua peke yake alikua anazingua.. Ila kuanzia episode ya 2 au 3 idadi yao inaanza kuogezeka na hapo ndo inanoga.

Trust me u will enjoy.. Inafurahisha sanaaaaa especially if you are a good listener.
Uh!!! Sidhani kama naweza kuipenda aiseee!!
 
Mwenzio nampenda seth wright wa kwa designated survivor I'm inkove with seth
espy
The last ship nakapenda ka Miller, katoto ka mama. Eti walivyorudishwa kutoka kwa takehaya kamefika kwa nathan james si kakaanza kulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom