Series (Special thread)

Nzuri, niko season ya 2 now.
Naona umeamua ubadilishe avatar pengine hii itapunguza ban
Hahahaaaa!! Ile ilikuwa inawatoa watu kwenye mada, mtu badala achangie unasikia "lips zinanimaliza" mfyuuuu!!
Na mod kama hana huruma basi apige ban na mtoto.
 
Hahahaaaa!! Ile ilikuwa inawatoa watu kwenye mada, mtu badala achangie unasikia "lips zinanimaliza" mfyuuuu!!
Na mod kama hana huruma basi apige ban na mtoto.
Mimi nimemiss zile avatar za midoli tu,cdhan km ushawahi pigwa ban kipindi unaweka midoli ulikuwa mstaarabu


Sent from my LG-D858HK using JamiiForums mobile app
 
Hahahaaaa!! Ile ilikuwa inawatoa watu kwenye mada, mtu badala achangie unasikia "lips zinanimaliza" mfyuuuu!!
Na mod kama hana huruma basi apige ban na mtoto.
Ha ha ha ha ha..
Hata kupiga
 
Mkuu blindspot na shades of blue zinarudi lini?
Nusu ya kwanza ya Blindspot ni October mwishoni na hiyo nyingine unatakiwa kuwa mpole kwa sababu bado sana!!! Usisahau SoB imeisha juzi tu hapa na sio full season kama ilivyo Blindspot!!
 
Nusu ya kwanza ya Blindspot ni October mwishoni na hiyo nyingine unatakiwa kuwa mpole kwa sababu bado sana!!! Usisahau SoB imeisha juzi tu hapa na sio full season kama ilivyo Blindspot!!
Ahsante mkuu
 
Hizi series huwa napenda niangalie kitu kilicho complete.
Shida niliyo ipata kwenye Arrow,empire, walking dead na pb season five duh. Unaangalia ka episode kamoja unabaki na kihoro.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…