Hapana labda kwako,,,ila mm mwanzo nikiona hivyo kama wewe lakin nikawa naikomalia kuidownloud hvyo hvyo,,kama jana nmeipata 24 saa mbili na robo usiku nilipopata mida wa kuipakua,,kinachotokea je kule america imetazamwa saa ngp? Ukijua hiko bas unaangalia na kuipakua baada ya dk43 fresh tuTerrarium Tv inachonikera episode ikitoka siioni on tym,inaandika no syno nn sijui huko. Mpaka nikae a days ahead Ndio naweza kuiona
Kama haileti hela basi haimake sense.reason behind ndio hiyo ya kimaslahi
sasa unakosa uhondo kabisa wewe angalia tu ikifika hio sehemu ya kujunjana fumba macho ila usivute hisia kabisa umesikia princess kwa maana unakosa vitu hatari kabisa vya mbele.hivi mnawezaje kuangalia series za wazungumaana waweza shtukia watu wameanza kunjunjana.
hicho ndo kinanifanya nisiziangaliage
Kwahyo unaogopa kunjunjana?we hunjunjani?hivi mnawezaje kuangalia series za wazungumaana waweza shtukia watu wameanza kunjunjana.
hicho ndo kinanifanya nisiziangaliage
Kunjunjana ni Ku Duu au??Sio zote mkuu,halafu si jambo lakawaida tu hilo hasa kwa wanandoa na walio kwenye mahusiano na sio kwa mda mrefu ni vipande tu afu pia inategemea wacheki series za maudhui gani huwa wanaonya mapema tu mf +18, parental control na warning kibao tu kabla ya kuitazama.
Sawa mkuu. Hapo pa kuangalia baada ya wao kuichek nmeimanya hiyoHapana labda kwako,,,ila mm mwanzo nikiona hivyo kama wewe lakin nikawa naikomalia kuidownloud hvyo hvyo,,kama jana nmeipata 24 saa mbili na robo usiku nilipopata mida wa kuipakua,,kinachotokea je kule america imetazamwa saa ngp? Ukijua hiko bas unaangalia na kuipakua baada ya dk43 fresh tu
wananichefuaga tu,kwani ww unaogopa hayo si maigizo tuu hata wakinjnjana hawafanyi kwel
muache mtoto wa watu hajazoeaKwahyo unaogopa kunjunjana?we hunjunjani?
aah mimi mwenzenu wananichosha sanaSio zote mkuu,halafu si jambo lakawaida tu hilo hasa kwa wanandoa na walio kwenye mahusiano na sio kwa mda mrefu ni vipande tu afu pia inategemea wacheki series za maudhui gani huwa wanaonya mapema tu mf +18, parental control na warning kibao tu kabla ya kuitazama.
aaah wananiudhi mimisasa unakosa uhondo kabisa wewe angalia tu ikifika hio sehemu ya kujunjana fumba macho ila usivute hisia kabisa umesikia princess kwa maana unakosa vitu hatari kabisa vya mbele.
nanjunjana kwa siriKwahyo unaogopa kunjunjana?we hunjunjani?
Ok ok kan'tangaze...halaf unajua leo ndio nmejua yule kaka yake eric, Isaac Carter ni MuingerezaSawa mkuu. Hapo pa kuangalia baada ya wao kuichek nmeimanya hiyo
Kuna mtoto wa mnyama humu??muache mtoto wa watu hajazoea
Ulijuaga n nani?Ok ok kan'tangaze...halaf unajua leo ndio nmejua yule kaka yake eric, Isaac Carter ni Muingereza
mbona ya kitambo kidogo mkuu hii ila iliisha mwaka Jana inahusu mambo ya kufikilika tu na ni best series ever kwangu kwenye ishu za kufikilika mkuu jaribu kuingalia aisee huto juta kabisa kupoteza mda wako kabisa.Cjaiona hii
Yule jamaa lafudhi yake sio ya kiingereza kabsa,,,yaan ni kama mtoto mtukutu wa pale seattle marekan,au bostonUlijuaga n nani?
Ya action?Scandal ni balaa nipo naangalia season 6 hapa,hutajuta kuichek.