embu nielekeze zaidi mkuu jinsi ya kuigrab pengine inaweza ikaondoa tatizo langu mkuu.Ingia kwenye browser yako fungua kickasstorrents.cd,,ni mwisho wa matatizo u will get almost all western series and movies,,games na apps n much more,,.then search anythng u want do download ukishaiona series episode unatoitaka tumia magnetic link via Vuze au niambie nikuelekeze jinsi ya kuigrab
Kama ulishawahi kudownload kwa kutumia torrents kama ulivyosema basi kugrab ni kile kitendo cha kutoa lile kwenye torrent site kuja kwenye torrent downloader yako kama ni utorrent, vuze,bit..nk na kuanza kuidownload.Na unafanya hivyo kwa kubonyeza ile magnetic icon au coppy url kisha upaste kwenye downloader yako.embu nielekeze zaidi mkuu jinsi ya kuigrab pengine inaweza ikaondoa tatizo langu mkuu.
nashukuru sana mkuu ngoja nipakue 24 legacy na designated survivor now nizicheki huku nikiwa nasubiri prison break next week.Kama ulishawahi kudownload kwa kutumia torrents kama ulivyosema basi kugrab ni kile kitendo cha kutoa lile kwenye torrent site kuja kwenye torrent downloader yako kama ni utorrent, vuze,bit..nk na kuanza kuidownload.Na unafanya hivyo kwa kubonyeza ile magnetic icon au coppy url kisha upaste kwenye downloader yako.
Toxicwap nashindwa kuitumia ktk simu yanguO2tvseries
Toxicwap
zipo fasta
Imetoka epsod ya pili season 2 bado inaendelea kutok kila wikiMaana kama ni speed, inategemea unatumia mtandao gani,eneo ulilopo,na chombo unachotumia.
Kwa kawaida torrents huwa na slow speed labda uchague yenye seeders wengi au uicatch kwenye site nyingine mfano zbiggz na sio torrent downloaders kama utorrent na wenzake kisha ukishaicatch udownload na idm hapo speed itakua kubwa.
Apps kama terranium, showbox ukiwa na mtandao wenye speed nzuri utazifurahia vivyo hivyo kwa sites kama O2,toxicwap,tvserieswap na zinginezo.
Hivi into the bad land ina sehem ngapi katika sizoni hii ya pili
Ingia Seriesdl.com au todaytvseries.com yan hizi ni uhakika has a todaytveeriesHIVI NI SITE GANI NZURI ZAIDI KATIKA KUDANLOWLD SERIES KWA MAANA KWANGU ZOTE ZINASUMBUA UKIANZIA
1.torrent
2.show box kupitia bluestack
3.terrarium TV kupitia bluestack
4.O2tvseries na nyingine nyingi tu
SASA WAKUU NAHITAJI KUJUA IPI HAIPO SLOW YANI IPO FASTA ILI NIANZE KUPAKU MIZIGO NOW kupitia PC.
Scandal ni balaa nipo naangalia season 6 hapa,hutajuta kuichek.Wakuu nimeanza kuicheki hii series ya SCANDAL...nimemaliza season ya kwanza ndio naianza ya Pili...
Kumbe tamu hivi Maana nilikuwa naidharau.
...Kerry Washington kavaa uhusika Sana humu.
Imetoka epsod ya pili season 2 bado inaendelea kutok kila wiki
Hata hii ipo poa nmeicheki had s03.Na hii series ya THE LAST SHIP nayo kali.. Maana naangalia plot ya kwanza nikiona mizunguo huwa na acha.
Mkuu nielekeze kuitoa torrent kupitia idmMaana kama ni speed, inategemea unatumia mtandao gani,eneo ulilopo,na chombo unachotumia.
Kwa kawaida torrents huwa na slow speed labda uchague yenye seeders wengi au uicatch kwenye site nyingine mfano zbiggz na sio torrent downloaders kama utorrent na wenzake kisha ukishaicatch udownload na idm hapo speed itakua kubwa.
Apps kama terranium, showbox ukiwa na mtandao wenye speed nzuri utazifurahia vivyo hivyo kwa sites kama O2,toxicwap,tvserieswap na zinginezo.
Terre ni ya smart phone au pcKiukwel mm siwez tumia kitu ingine zaid ya terrerium tv tu bhas,,mwsho wa matatizo kwangu
Ukishaenda kwenye site ya torrent unacopy link au url ya file unalolitaka then unafungua window mpya google zbigz.com(hii ni catching site zipo nyingi ila napendelea hii) then una paste pale hiyo link itaicatch kwa sekunde kadhaa then unaclick download,hapa kama una idm ita pop up itaanza kudownload kama huna utatumia download manager ya browser au window.Mkuu nielekeze kuitoa torrent kupitia idm
Ila site kama todaytvseries.com na wowmovies.cc zipo poa sana kwa series mkuu.Mkuu nielekeze kuitoa torrent kupitia idm
Kyle xy imesitishwa haindelei tena.Dah hapo ongeza na
heroes
Kyle xy
Kyle xy imesitishwa haindelei tena.Dah hapo ongeza na
heroes
Kyle xy
Kumbe ndo maana kila nikitafuta mwendelezo ili ku download sipati, dah asante mkuuKyle xy imesitishwa haindelei tena.
Smartphone nkuuTerre ni ya smart phone au pc