Inahusu nini hii?Daredevil mzigo umetema woteee season two episode 1 hadi 12 ambayo ndio season finale.
Pakua uone kipofu anapotumia milango mingine ya fahamu kuona na kuhisi na kunusa hatari na kila maovu.
Jamaa mmoja royal alikuwa kipofu lakini alikuwa na uwezo mkubwa wa sense ikabidi awe ana save city kwa watu wabayaInahusu nini hii?
OkeyJamaa mmoja royal alikuwa kipofu lakini alikuwa na uwezo mkubwa wa sense ikabidi awe ana save city kwa watu wabaya
Anafanya mambo Kama ya oliver queen.. Mchana ni mwanasheria mzuri yeye na best yake ila usiku ni vigilant mzuri pia hahaha.Okey
sabab za kuicancel n nn kiongoz?ABC cancels 'Of Kings and Prophets' after just 2 episodes following complaints on its explicit content | Christian News on Christian Today
habari mbaya kwa wapenzi wa OF KINGS AND PROPHETS, imecanceliwa ....... bonge la series dah
Haina wapenzi..imepoteza mvuto, competition na series nyingnesabab za kuicancel n nn kiongoz?
Oooh! Poa mkuu.Anafanya mambo Kama ya oliver queen.. Mchana ni mwanasheria mzuri yeye na best yake ila usiku ni vigilant mzuri pia hahaha.
Iko poa kiasi chake
Hapo labda uamie kwa wakoreaWadua series gani yenye love story nzuri..2015/2016..
sina series yakuangalia sasa wakat nikisubiria series zangu pendwa Game of Thrones, Power, Tyrant, Empire, Narcos zitoke next season.
Duh hao watu nina allerg naoHapo labda uamie kwa wakorea
fungua link ..usijitolee sababu zako kichwani.... wakati ilikuwa ishapata mashabiki wengi sana ... sababu ni tofauti na ulizotaja.....Haina wapenzi..imepoteza mvuto, competition na series nyingne
kwn ww mtoto wa nzi sabab unazozijua n zip? tuwekee na ss tupate kujua kiongoz.fungua link ..usijitolee sababu zako kichwani.... wakati ilikuwa ishapata mashabiki wengi sana ... sababu ni tofauti na ulizotaja.....
Labda hatukuelewana. hizo ni reasons chache kati ya nyingi zinazosababishwa series kuwa cancelled. iyo ya kwene iyo link labda ndo ilisababisha iyo kuwa cancelled. naona ka vilefrustration zako umeamua zimalizia kwangufungua link ..usijitolee sababu zako kichwani.... wakati ilikuwa ishapata mashabiki wengi sana ... sababu ni tofauti na ulizotaja.....
kwa kuwa wewe ni mke wangu hongera ....kwa kujua nna frustration......Labda hatukuelewana. hizo ni reasons chache kati ya nyingi zinazosababishwa series kuwa cancelled. iyo ya kwene iyo link labda ndo ilisababisha iyo kuwa cancelled. naona ka vilefrustration zako umeamua zimalizia kwangu
Still proving what am saying..pita hivkwa kuwa wewe ni mke wangu hongera ....kwa kujua nna frustration......
ukitanua napita ...tanua sasaStill proving what am saying..pita hiv
Mambo madogo tu haya mkuu. Kupishana mawazo jambo la kawaida. So sorry kama kuna sehemu nimeover step. Pamoja sanaukitanua napita ...tanua sasa