Nilitenda muujiza๐คฃulimtukana Mod PM mwaya kamamaa..!?? ukirudi uje utuambie ni muujiza gani ulifanya..!
Aww๐ฅฐ๐ฅฐKama hujaicheki unasubiri nini?
Seran mzigo umekaa vizuri.
Pia ukipigwa ban jf usisuse wote kama sio wengi wetu tumewahi kupigwa BAN
View attachment 3637200
apostle kuna muujiza huku.!.??Nilitenda muujiza๐คฃ
Mtume Nimeponaa, nilikuwa natukana mpaka napigwa ban, sasa hivi natamka maneno ya baraka tu matusi hapana kabisa mtumee๐คฃapostle kuna muujiza huku.!.??
nini kimetokea.!??
huyu dada hapa alitukana mpaka Max na Mods wake, lakini baada ya kutumia maji na mafuta, amepona kabisa mtumee..!๐๐
๐๐๐๐Mtume Nimeponaa, nilikuw anatukana mpaka napigwa ban, sasa hivi natamka maneno ya baraka tu matusi hapana kabisa mtumee๐คฃ
Nimepokea mtumee๐๐๐๐๐
Nenda PM kuna ujumbe wako,
๐ฅ๐ฅ๐คฉ๐คฉ๐ฏ๐ฏ๐ฅ๐ฅView attachment 3629603
Hatari na nusu ๐ฅ. Imeachiwa leo na leoleo nimeichukua๐. Mzigo hadi sasa una episodes mbili zote zamoto.
Bonge la tambo๐๐ฅ๐ฅ๐คฉ๐คฉ๐ฏ๐ฏ๐ฅ๐ฅ
Ka lucky kajanja kajanja sana yani. Kamepita na mikoba ya akina mama kwenye birthday party nikabaki kinywa waziBonge la tambo๐
Ya kitambo sanaNgoja niichekiView attachment 3638135
Inaonekana chuma hasaFifty karibu tena na โ FIGHT LANDโ ina Episode moja so far ni 9/10
Nimeangakia episodes kama 6 nikaona aaah mbona nasinzia sinzia nikaachana nayo kwanzaYa kitambo sana
Huyo dada ni kitu ingine kabisa! Mimi nimependa kila episode ni ya moto! Alivyochoma ile gari, alivyoiaminisha ile familia na kuishi nayo,alivyoiba gari yao ndio kabisaa๐๐พKa lucky kajanja kajanja sana yani. Kamepita na mikoba ya akina mama kwenye birthday party nikabaki kinywa wazi
Ni dare devil born again?Napenda series zenye maadui watata, ila kuna wakati starring anapewa mkong'oto mpaka huruma!
Mkong'oto aliopewa Daredevil na Dex kwenye hii season 3 ni hatari!