wameisitisha km vile walivyoisitisha the Revolution... awa jamaa nna bifu nao maana zile nnazo zipenda ndo wanazo zi cancel.Hivi the tomorrow people ndo ilishia season one tu
Hatariithe 100 imefikia patam hatar
Mie nataka awe ameshaweka kabsaaa! Mie nikutupia tu kwenye uhd tv langu la kichina basi!Mbona kuweka subtitle kwenye movie au searis ni rahisi sana mkuu.
Best series of all the times....House of card s4 is out since last week
inahusu nn kjana, maana unavyoisifia?Best series of all the times....
inahusu nn kjana, maana unavyoisifia?
hiyo ndo iliishia hapo,,,,ile episode 12 pale waliandika 12 hrs later which means 24 hrs ziliisha,,,,may be tusubiri season 10Kwan imefka season 10...! Nakumbuka ni season 9 epsods 12 wakaiita live another day...so hata mie nilitegemea waendelee epsod ya 13....
Kwanza vipi hawa jamaa wanaocheza 24 (kiefer) au jack bouer n wenzake ndio wamemaliza 24 kwenye hiyo season 10 epsod 13 au vip? isaidieni jamani maana nailove sana.
24 inarudi kwa staili nyingine... 24 LEGACY! Unfortunately, Jack Bauer hatakuwapo... bila shaka hili ni pigo kubwa kwa mashabiki wa Jack Bauer!!Kwan imefka season 10...! Nakumbuka ni season 9 epsods 12 wakaiita live another day...so hata mie nilitegemea waendelee epsod ya 13....
Hapo mwishoni ushanikata steam tayari. Ukiongeza na kutokuwepo kwa Jacky Beuer ndio kabisaaaa naitia kapuni 2424 inarudi kwa staili nyingine... 24 LEGACY! Unfortunately, Jack Bauer hatakuwapo... bila shaka hili ni pigo kubwa kwa mashabiki wa Jack Bauer!!
Binafsi, I don't believe much in Actors/characters but I do believe in creators... especially writers and directors!!! Kwenye movies/series; characters are made from the story to directing! Ndo maana the same Kiefer Sutherland casted as Jack Bauer ambae tunaona bila yeye 24 itakuwa ni nothing lakini ni mara chache sana kukuta watu wanamzungumzia Kiefer Sutherland wa Touch (Martin Bohm); WHY? Ingawaje Jack Bauer na Martin Bohm ni yule yule in real world (Kiefer Sutherland), lakini creators wa Touch walishindwa kumtengeneza GREATER CHARACTER Martin Bohm kama ambavyo waliweza creators wa 24 na Jack Bauer wao. Kuna hawa watu: Evan Katz, Howard Gordon na Manny Coto huwa hawakosei na hao ndio creators wa 24 Legacy. Binafsi, nikishaona kazi husika wamo Evan Katz & Gordon, huwa siulizi main character ni nani!
In short, most if not all 24 Characters hawatarudi. Nafasi ya Jack Bauer itakuwa "replaced" na Bwana Mdogo Corey Hawkins!!!! Kiukweli namuhurumia sana Corey Hawkins ambae ana kibarua kizito cha kuwaridhisha mashabiki wa Jack Bauer! Mbaya zaidi, haya mambo inategemeana na Character alivyokuwa developed! Kuna movie/series zingine Main Character anakuwa ndie leading role... huyu ndie anasukuma stori kwenda mbele kutokana na maamuzi yake! Role ya Jack Bauer ndo ilikuwa hivyo and character yake ilikuwa developed kuwa hivyo lakini watazamaji hatujali... tunaamini ni Jack Bauer ndie alikuwa hivyo! Sasa ikiwa role ya Corey Hawkins haitakuwa characterized kama ile ya Jack Bauer, then sitarajii ikiwa mashabiki wa Bauer watamkubali Corey! Na tayari imeshasemwa character ya Corey itakuwa na utofauti na ile ya Bauer!!!
View attachment 330744
Hata hivyo, Jack Bauer hatutamkosa moja kwa moja... tumsubirie kwenye political conspiracy thriller "Designated Survivor" ambayo atacheza kama US President na ndie Main Character.
Kwa upande mwingine, ikiwa ushoga wa James Novak (Dan Bucatinsky) ndani ya Scandal ulikuwa unakukera; basi usiyempenda anakuja kwenye 24: Legacy kama Communication Specialist wa CTU!! Itoshe tu kusema kwamba, Bucatinsky si kwamba ni shoga wa kuigiza tu bali ni shoga kweli kweli in a real world married to Don Roos na wana watoto 2... Eliza na Jonah!
View attachment 330743
Pole sana Mkuu, I know hizi gay stuff scenes zinavyokukera! Nikimchukua huyo James Novak (Dan Bucatinsky) na Cyrus kwenye Scandal na ule ushoga wao wa uzeeni; walikuwa wananikera si kidogo hususani wanapokuja kwenye masuala ya kupigana lita! Wakinekera sana ninachofanya ni ku-forward tu na maisha yanaendelea... kimsingi, I don't care much!Hapo mwishoni ushanikata steam tayari. Ukiongeza na kutokuwepo kwa Jacky Beuer ndio kabisaaaa naitia kapuni 24
Pole sana Mkuu, I know hizi gay stuff scenes zinavyokukera! Nikimchukua huyo James Novak (Dan Bucatinsky) na Cyrus kwenye Scandal na ule ushoga wao wa uzeeni; walikuwa wananikera si kidogo hususani wanapokuja kwenye masuala ya kupigana lita! Wakinekera sana ninachofanya ni ku-forward tu na maisha yanaendelea... kimsingi, I don't care much!
Hakuna zaidi ya jack bauerHapo mwishoni ushanikata steam tayari. Ukiongeza na kutokuwepo kwa Jacky Beuer ndio kabisaaaa naitia kapuni 24
Hahahaaaa! Pole sana, mie kukosekana kwa jack beuer tu baaaasi sina mzuka nayo tena.Hapo mwishoni ushanikata steam tayari. Ukiongeza na kutokuwepo kwa Jacky Beuer ndio kabisaaaa naitia kapuni 24
me ndo kwanza nipo season 1 sasa ni season ya ngap ep ya ngap ?the 100 imefikia patam hatar
Issue si kuona ni mambo ya kawaida bali it's none of my business! Mimi hata in real life sina time na maisha ya mtu asiyenihusu na ndio maana hata hapa JF nikiona watu wanatoka mapovu eti oh, fulani malaya... sijui fulani amekondeana.... huwa sina time na stori kama hizo... that's one but second, gay portrayal in Hollywood wala hawatulengi sisi bali wanalengana Wamarekani wenyewe ambao kuna baadhi wanaona gayism ni kawaida tu na wengine wanaona ni serious crime... hawa, ndio wanaowalenga Hollywood!! Sasa unless kama unamaanisha wenye misamamo hasi from America, then I agree with you lakini kama ni wale wa Afrika; come on man; wala hawana time na sisi!! Lakini third, mimi kuna mambo yananikera zaidi kuliko huo ushoga kv yananiathiri moja kwa moja! Dume zima likiamua kutoa makalio shauri yake na ndugu zake ndio anawadhalilisha lakini sio mimi! Kinyume chake, Afrika kuna wezi kwenye kila ofisi ya serikali... wezi hawa wanatufanya tukose maji, umeme, barabara, huduma za afya n.k!! Yaani Waafrika ingekuwa tunachukia ufisadi nusu tu ya vile tunavyochukia ushoga, wallah hili bara lingekuwa mbali sana!!!!Hii ndio njia wanayoitumia ili sisi ambao tuna msimamo hasi kwa mapenzi ya jinsia moja tuone ni mambo ya kawaida! I can see they've won in some ways... Niliacha kuangalia Empire cos of that na hata hiyo scandal pia same same! Kwa kifupi mimi siwezi kuangalia ushoga nikauzoea, if it means kuachana na series I will!