Kwanini?Dah hiyo nilikomaa na season 1 nikaona yule dada hayupo serious kabisa
Nitaangalia S04 kwa heshima ila sina matumaini.nahisi hii itakuwa ya mwisho
Mi nahisi wataimaliza vizuri tu, ila wakipata tamaa ya kuendeleza season inayofuata itadoda kweliNitaangalia S04 kwa heshima ila sina matumaini.
The Boys ndo naisubiri kwa hamu sana najua hawawezi kuniangusha.Mi nahisi wataimaliza vizuri tu, ila wakipata tamaa ya kuendeleza season inayofuata itadoda kweli
kabisa, the boys ni nzuri, nasuburi kuona sijui kama kuna mtu ataweza kumua homlander maana jmaa sidhani kama atabadikika 😁The Boys ndo naisubiri kwa hamu sana najua hawawezi kuniangusha.
Hapana sikuzipenda. GOT sijawahi kuvuka episode ya 4 Kila mara nilipojaribu.kwani game of thrones na house of dragon hukuzipenda
Hapana humo ni mambo kuchinjana na kunjunjana🤸🤸Haina mambo ya uchawiuchawi na ma dragon?
Eh jamaa wa GOT yupo na jamaa wa VIKINGS VALHALA yupo pia, iko poa sana,nimeicheki kumbe ina season moja bado hapo vizuri, alafu nimeona yule jamaa wa game of thrones yupo
Ep 5 hiviHijack episode ya ngapi mpaka sasa
Mambo niyapendayo mimi na mama abelHapana humo ni mambo kuchinjana na kunjunjana🤸🤸
Homlanda anapenda sana maziwa kama mimi tu aisee 😄😁😃😀😀kabisa, the boys ni nzuri, nasuburi kuona sijui kama kuna mtu ataweza kumua homlander maana jmaa sidhani kama atabadikika 😁
InaitwajeSio yakuangalia mbele ya watoto , wala wakwe zako utaoata aibu
Dr. Mariposa Nimefika ep ya 03 ila naona ni nzuri,
Unapambana tu si umemuona Kwame anavyokomaa katikati ya Magiant😃😃 mimi ningekua Aura dada ake Kwame ila watu kama sisi ndio hatudumu ningekua nishasulubiwa🥹🤣Dr. Mariposa Nimefika ep ya 03 ila naona ni nzuri,
Nakubaliana na wewe hata mimi ningekufa tu kama ningekuwa mtumwa maana sina mwili wa gladiator 😁
Inaitwaje hiyo?Sio yakuangalia mbele ya watoto , wala wakwe zako utaoata aibu
Ila ile familia ina watoto wazuri, kuanzia mama mpaka mabinti zake 😄Unapambana tu si umemuona Kwame anavyokomaa katikati ya Magiant😃😃 mimi ningekua Aura dada ake Kwame ila watu kama sisi ndio hatudumu ningekua nishasulubiwa🥹🤣