Goddamn it!!Tunakubaliana quality iwe 1080p hata kama ina gb 5 wewe beba 1080p badilika tabia achana na 480p gademiti ishi kituristi
View attachment 3537986
Mwanzo nikajua dg ako na cancer hahaHuyo dogo kala zungu kichwani limemkubali
duh kwenye torrent naona ina mb kama 500 hiviGoddamn it!!
Episode Moja yenye 1080p ya Tulsa king Ina 800+ MB ngoja nizurule tu hapo kwenye 720p
View attachment 3538691
Banshee nilianza nayo toka wanatoa ep moja moja hadi nikaimaliza miaka hiyoHivi Vincenzo Jr umeshaiona banshee nina miaka mingi natamani kuirudia! Dr. Mariposa kaangalie The Guest binafsi nimeipenda!
Ilikuwa ya moto kipindi hicho! Niliandika mpaka kwenye diary yangu best movie ni banshee😆Banshee nilianza nayo toka wanatoa ep moja moja hadi nikaimaliza miaka hiyo
Mule raha sanaIlikuwa ya moto kipindi hicho! Niliandika mpaka kwenye diary yangu best movie ni banshee😆
Kwanza nikushukuru kwa ile series 'THOSE ABOUT TO DIE' kali sanaa nipo episode ya 5, yaan natamani isiishe,🔥🔥Hivi Vincenzo Jr umeshaiona banshee nina miaka mingi natamani kuirudia! Dr. Mariposa kaangalie The Guest binafsi nimeipenda!
Nimemaliza kuicheki muvi Iko poaSingle Movie: Wild Cat 2025
Familia ya mwanamama wa kazi chafu inavamiwa na kundi moja hatari la hapo uingereza mume wa huyo mama anauliwa mtoto wao wanamchukua Kama mateka, yote hayo yamesababishwa na mdogo wa huyo mama baada ya kuwakopa hao jamaa pesa nakushindwa kuwalipa.Wanapewa condition kwamba wanahitaji kiasi Fulani ndani ya muda Fulani na Pesa yakuwalipa hao jamaa hawana Je watafanyaje wapate hiyo pesa walipe ili achukue mtoto wake? Utamu movie huko hapo
Mwenyewe niliipenda sana natamani iendelee soon sipendi kusubiri sana huwa nasahau yaliyopita..Kwanza nikushukuru kwa ile series 'THOSE ABOUT TO DIE' kali sanaa nipo episode ya 5, yaan natamani isiishe,🔥🔥
Mimi nimeiona niko form 3 ni miaka mingi hata siikumbuki vzr kwakweli😆Banshee niliiangalia ila siwezi kuiname kama best series kwa upande wangu ni nzuri ila sio kiivyo,
Tamu sana..hii ni ya 2025 series ya ki-colombia ya kina Lorenzo..The Guest nimeona ni movie ya mwaka 2014 trailer limenivutia nitaichekiiiii,
Jamani sijaipenda nisiwe muongo!😅 nimeshindwa kuiangalia.. angalia Hostage ya 2025 sjui kwann ina episodes 5🤔Umeona Spartacus: House of Ashur? sijaielewa kabisa nimeishia ep 3, labda nivute pumzi nitaitizama hata mwakani, lol
Oh kwa kua uliiona ukiwa form 3 ndio maana basi, ile minjunjano ya kila saa ilikupagawisha enzi hizo za balehe😄😄Mwenyewe niliipenda sana natamani iendelee soon sipendi kusubiri sana huwa nasahau yaliyopita..
Mimi nimeiona niko form 3 ni miaka mingi hata siikumbuki vzr kwakweli😆
Tamu sana..hii ni ya 2025 series ya ki-colombia ya kina Lorenzo..
Jamani sijaipenda nisiwe muongo!😅 nimeshindwa kuiangalia.. angalia Hostage ya 2025 sjui kwann ina episodes 5🤔
MIchakatano imo muleee sanaMule raha sana
Nimeiweka kwenye list,Depal Carleen Seran Mr Q Vincenzo Jr Dr. Mariposa Angel Nylon
The greatest showman ( romance, drama, musical )
Pt Barnum toka akiwa mtoto alikuwa na ndoto ya kuja kufanya kitu kikubwa na special kwenye dunia ila umaskini unakuwa kikwazo, anamua kutafuta tu kazi ya kawaida kwenye bank ili apate pesa za kumuoa msichana aliyekuwa anampenda toka utotoni, baada ya kuwa kwenye familia kwa muda anapata watoto wa kike wawili ila bado anaone hana furaha hivyo anamua kuacha kazi na kukopa mkopo benki ili kufungua ukumbi wa maonyesho ya sarakasi huku akichukua watu waliokuwa wanatengwa na jamii kipindi hicho miaka ya 70s ndio wawe watu wake wa maonyesho.
Ni movie inayonyesha hustler kwenye kupigania ndoto , racism, gharama ya tamaa ya kutaka zaidi ya ulichonacho
Naishusha play dirty na caught stealing then nitaicheki hiyoDepal Carleen Seran Mr Q Vincenzo Jr Dr. Mariposa Angel Nylon
The greatest showman ( romance, drama, musical )
Pt Barnum toka akiwa mtoto alikuwa na ndoto ya kuja kufanya kitu kikubwa na special kwenye dunia ila umaskini unakuwa kikwazo, anamua kutafuta tu kazi ya kawaida kwenye bank ili apate pesa za kumuoa msichana aliyekuwa anampenda toka utotoni, baada ya kuwa kwenye familia kwa muda anapata watoto wa kike wawili ila bado anaone hana furaha hivyo anamua kuacha kazi na kukopa mkopo benki ili kufungua ukumbi wa maonyesho ya sarakasi huku akichukua watu waliokuwa wanatengwa na jamii kipindi hicho miaka ya 70s ndio wawe watu wake wa maonyesho.
Ni movie inayonyesha hustler kwenye kupigania ndoto , racism, gharama ya tamaa ya kutaka zaidi ya ulichonacho
Mambo yenu hayo
😅 kati ya hizi na za super heroes ipi unaweza jitahidi kuangaliaMambo yenu hayo
Hiki chuma sioo powaaa
Bora hiyo kwakweli 😁😁😅 kati ya hizi na za super heroes ipi unaweza jitahidi kuangalia