Series (Special thread)

hivi hii game of throne,...ndo ile kma wame act kma mambo ya kizamaniii hivi kings na quens..,...
mbonaq nmeona ya kawaida sana mkuu..
maana inavyosifiwa na nlivyoiona ni kawaida2....................ebu nieleweshe mkuu
eti ile ndio history ya Europe enzi hizooo, karne ya 13
 
series gani hii?????
au?>
 
dzain.ila uhalisia ni mwingi CCTV Cameras zinadetect watu had mazungumzo yao yoyote yanakuwa recorded n kila kitu kipo controlled under CCTV camera...,.action kwa sana mkuu..ni drama kali sana........
napendelea zaidi drama kuliko action, vp nita enjoy?
 
napendelea zaidi drama kuliko action, vp nita enjoy?
mkuu nakupromis utaenjoy,....ukiielewa maudhui yake...
simchezo kaka.....
mkuu nakupromis utaenjoy,....ukiielewa maudhui yake...
simchezo kaka.....
 
huyu si keshakufa??
hapo sasa watu wanasema atakuwa mzima swari atafufukaje hilo yaan wamelificha hawataki kulieleza dunia nzima mshawasha upo kwa jon snow
je atafufuliwa na walker mana walker kule alimcheck kwa jicho la kumtamani mbaya na yupo karibu tu kufika NORTH kule kwenye NIGHTWATCH ya kina jonsnow akiwa full na jeshi lake la WAFU hatareeeeeeee

lets wait nd see !!
 
hivi hii game of throne,...ndo ile kma wame act kma mambo ya kizamaniii hivi kings na quens..,...
mbonaq nmeona ya kawaida sana mkuu..
maana inavyosifiwa na nlivyoiona ni kawaida2....................ebu nieleweshe mkuu
we umeiona tu kwa matukio
ila story line hujailewa siku nyingne sema sijaielewa kabisa na huwezi kuielewa ikiwa seriez zenye mfumo wa kingdom huna mzuka navyo
kwa hiyo sema wewe haijakuvutia lkn usiseme kuwa ni ya kawaida sana si kwerii
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…