Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,517
- 124,409
Wabahatishaji wale hawana mbinu mpya. Walivyoona ya kwanza imeenda viral wakapata tamaa kulazimisha story.Nimeifuta hapa imekula gb 2 na nusu kama ningetumia bando ya kawaida ningeifungulia mashtaka mahakamani kisutu