Series (Special thread)

Series (Special thread)

Kibiblia ni ka mji kaloko haribiwa na Mungu kwa Sababu maasi yalizidi. Fikiria Kuna mtu wa Mungu alikuwepo kwenye miji hiyo na alitembelewa na wajumbe wa Mungu. Vijana wa mji huo wanataka wafukue mitaro hata pale rutu alipo taka kuwakabidhi Binti yao wao walikataa na kusisitiza wanataka wageni walikuja ili wawafukue
Hata mimi niliposikia jina la series ni Gomorrah basi nikajua humo ndani Yas ndio ime dominate.

Lakini kumbe sio, nimeicheki nimeishia season 4 episode kama ya 4 hivi.

Maswala ya uchoko yapo sehemu chache na ni kuanzia season ya 3 kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa.

Ni nzuri nadhani hata kwenye imbd inacheza na 8+ rate
 
Hata mimi niliposikia jina la series ni Gomorrah basi nikajua humo ndani Yas ndio ime dominate.

Lakini kumbe sio, nimeicheki nimeishia season 4 episode kama ya 4 hivi.

Maswala ya uchoko yapo sehemu chache na ni kuanzia season ya 3 kama kumbukumbu zangu zitakuwa sawa.

Ni nzuri nadhani hata kwenye imbd inacheza na 8+ rate
Naomba link yake ukiwa dubbed
 
The Waterfront, burudani mwanzo mwisho😋
images.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom