Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 10,836
- 32,591
Weweeeh!😆😆Kwenye titi na shingoni mwana akanyonya taratibuu😀😀
Weweeeh!😆😆Kwenye titi na shingoni mwana akanyonya taratibuu😀😀
Jana nilikuwa nachukua file la gb 3 ile inakaribia kujaa tu ikafeli nililia sana hadi mwanangu akawa ananiuliza nalia niniKibongobongo hiyo speed bado sio mbaya sana. Huwa wanakera pale inakuwa 139k/s na file Lina 2GB
Ni balaa 😅 😃Weweeeh!😆😆
Knives out zipo ngapi nataka niishushe chapNina mpango wa kuwakimbia voda wakiona nashusha sana movie wanapunguza speed Hawa ngedereView attachment 3516499
Umenikumbusha 365 days: This day nilikuwa nabana miguu tu, unaangalia movie ila unalegea wewe😆😆Ni balaa 😅 😃
Non resumable file kwa mtandao wa voda ni hatari sana. Huwa wanatabia ya kushusha bars na netwok KUKATA bila Sababu. Wakirejesha unakuta file kinaanza upya huku wewe ulikuwa umesha fika asilimia 97 wajinga sanaJana nilikuwa nachukua file la gb 3 ile inakaribia kujaa tu ikafeli nililia sana hadi mwanangu akawa ananiuliza nalia nini
Ni wapuuzi sana majamaa mwezi huu hawapati Tena pesa yanguNon resumable file kwa mtandao wa voda ni hatari sana. Huwa wanatabia ya kushusha bars na netwok KUKATA bila Sababu. Wakirejesha unakuta file kinaanza upya huku wewe ulikuwa umesha fika asilimia 97 wajinga sana
Vipi lugha? Au nisubiri moviemod waipakie ili nipate dual?
Vipi lugha? Au nisubiri moviemod waipakie ili nipate dual
Mazaga ni mengi duhView attachment 3516522
Ya moto 🔥
Subiria moviemod wai dubbedVipi lugha? Au nisubiri moviemod waipakie ili nipate dual
Mazaga ni mengi duh
Naam 🔥🔥🔥Vipi lugha? Au nisubiri moviemod waipakie ili nipate dual
Mazaga ni mengi duh
Anko kwema 😃Ni wimbo gani huo Seran mpenzi wangu
Lugha ni English?kwenye shadows edge?Naam 🔥🔥🔥