Hapo nimeiona House of dragon tu
Kwenye hiyo series Kuna masta alikuwa anaenjoy sana kwa huyu mchumba πHapo nimeiona House of dragon tu
Kuna mshauri wake yuke kilema anayetembea na fimbo aliona mguu tu akaanza kunyetuka πKwenye hiyo series Kuna masta alikuwa anaenjoy sana kwa huyu mchumba π
Mtoto mzuri sana huyu brother πKuna mshauri wake yuke kilema anayetembea na fimbo aliona mguu tu akaanza kunyetuka π
πππππMtoto mzuri sana huyu brother π
Kama yule mtoto aliyekuwepo kwenye avata ya Carleen
Niliwahi kumuona nikamuita carleeen kumbe ni Elizabeth π
Bange ni miyeyusho sana π
Ilikuwa Moshi pale Kilimanjaro International Airport midaa ya saa 2 za usiku nilikuwa nasubiria mwewe nirudi zangu daslamu mida ile kichwa kishapata moto π₯ huko nilipotoka nikamuona mtoto mzuri Elizabeth nae alikuwa anaenda dar mda ule si nikamtazamaa weee afu nikaropoka pale lile eneo nikaita carleeen ππ Kuna mwanangu akaniambia mwanangu ushadata ππ hadi naingia kwenye chuma ya Precision Air yule mtoto kama alinichanganya walahi dah!πππππ
hukuwahi nisimulia hii kabisa..!
nilikuwa nanyoa those days, kuna rafiki yangu akaniambia nafanana naye ndiyo sababu ya kumuweka Elizabeth Mramba avatar,
Watz miyeyusho sana mwanangu ππππππππ
hukuwahi nisimulia hii kabisa..!
nilikuwa nanyoa those days, kuna rafiki yangu akaniambia nafanana naye ndiyo sababu ya kumuweka Elizabeth Mramba avatar,
sahii nimerudi kusuka naambiwa nafanana na Jennifer Kyaka βOdamaβ, Watz wamenishinda..!
Mule nilimkubali sana yule demu wake mrusi wa kuitwa annaNimemaliza kuirudia BANSHEE season zote, itoshe kusema sijutii kuirudia series hii
Anapenda sana bakoraMule nilimkubali sana yule demu wake mrusi wa kuitwa anna
ile kitu wanawake wanaipenda sana walahi π πππAnapenda sana bakora
Unaangalia mara inarudi miaka ya nyuma mara iyo miaka ya nyuma inarudi tena walinishangaza tu pale mtoto kamzaa mama yake mzazi ambaye alimzaa miaka kazaa nyuma apo kweli bila GB za kutosha kwenye ubongo HUTOBOIHii inabidi uwe na Ram kuanzia 8 mana ilifik kipind nilikoma.
Hatari sana aiseeUnaangalia mara inarudi miaka ya nyuma mara iyo miaka ya nyuma inarudi tena walinishangaza tu pale mtoto kamzaa mama yake mzazi ambaye alimzaa miaka kazaa nyuma apo kweli bila GB za kutosha kwenye ubongo HUTOBOI
πΉπΉπΉπΉIlikuwa Moshi pale Kilimanjaro International Airport midaa ya saa 2 za usiku nilikuwa nasubiria mwewe nirudi zangu daslamu mida ile kichwa kishapata moto π₯ huko nilipotoka nikamuona mtoto mzuri Elizabeth nae alikuwa anaenda dar mda ule si nikamtazamaa weee afu nikaropoka pale lile eneo nikaita carleeen ππ Kuna mwanangu akaniambia mwanangu ushadata ππ hadi naingia kwenye chuma ya Precision Air yule mtoto kama alinichanganya walahi dah!
Vin apewe maua yake au atafutiwe mtoto mmoja mzuri π ,mi niliangalia pamoja na paradise nayo ni nzuri piahalafu I was to forget, kipindi cha uchaguzi nilitazama β9 bodies in a mexican morgueβ, kwa aliyeshauri hii series hajaniangusha nampa heko..!π₯π₯
Hapana kwakweli ila huyu wa sasa kanibadisha hadi dini lakini wapi bado naendelea kupenda watoto wakali π yaani dah kutoka kuitwa Charles now naitwa KhalidπΉπΉπΉπΉ
ila Vinnie bhaana, kuna siku hujachanganywa na mtoto mkali kweli..!??
hivi in real life una mahusiano yaliyonyooka kweli..!?
π π Assalam aleikum shekh khalidnaitwa Khalid
ππππVin apewe maua yake au atafutiwe mtoto mmoja mzuri π ,mi niliangalia pamoja na paradise nayo ni nzuri pia