buildings tanzania
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 582
- 2,105
Hatari 🔥Kama Barry na yule mkewe 😃😀
Hatari 🔥Kama Barry na yule mkewe 😃😀
Number 1&2 sitaki kuzisikia hasa hiyo namba 2. Ngoja nifuatilie trailer ya hizo kuanzia 4,6,7,10. The Americans ilinishinda.Huu mzigo wenyewe, nimeuweka katika list ya top ten series zangu nzuri kama ifuatavyo
1. Vikings
2. Game of Thrones
3. Seal team
4. 68 Whiskey
5. The Americans
6. Billions
7. Startup
8. Fargo
9. Suits
10. BMF
Huu mzigo wenyewe, nimeuweka katika list ya top ten series zangu nzuri kama ifuatavyo
1. Vikings
2. Game of Thrones
3. Seal team
4. 68 Whiskey
5. The Americans
6. Billions
7. Startup
8. Fargo
9. Suits
10. BMF
Kwanza uliwezaje kuimaliza peaky blinders na unawezaje kurudia GOT wakati Mimi niliishia episode ya 3 nikaikachaPeaky blinders, day of the jackal na breaking bad ni series kali sana ila nilivyoziangalia siwezi kuzirudia kabisa, tofauti na hizo hapo juu.
Sasahivi narudia GOT na Seal team kwa mara ya tatu😂😂
Zee lilitekwa Ile wanalifungua kitambaa wakaliambia you are gonna work for us now. Ikaishia hapoView attachment 3445566
This September will be 🔥🔥
Huu mzigo wenyewe, but sadly una season moja tuHapo ntaanza na 68 whiskey naona kama imenivutia
Hizi series sio taste yako, hapa nipo season 5 ya GOT nairudia 😂😂, then jioni naishusha Mission impossible nasikia ipo hewani😋Kwanza uliwezaje kuimaliza peaky blinders na unawezaje kurudia GOT wakati Mimi niliishia episode ya 3 nikaikacha
Naomba link kwenye vyanzo vyangu siipatiHuu mzigo wenyewe, but sadly una season moja tu
Unataka ujue ili iweje 😁😁Guys,
Jana nimeangalia The Day of the Jackal kwa mara ya kwanza na kuimaliza yoooote, baada ya bro wangu kuisifia sana, kiukweli ilinikosha ila sasa nimebaki najiuliza pale Jackal alipoenda nyumbani kwa yule kaka, wakakulana nani alimla mwenzie!???🤣🤣🤣🙌🏻
Nimeangalia upande wa quality naona wameandika IMAX WEB-DIL halafu Ina same as blue ray halafu Ina 3GB. Mimi hiyo format siitaki hapo Kuna kupigwa haitakuwa clear. nasubiri 1080p ambayo ni blue-ray.Hizi series sio taste yako, hapa nipo season 5 ya GOT nairudia 😂😂, then jioni naishusha Mission impossible nasikia ipo hewani😋
Yaan sijui hata iweje ila nina hamu sana nijue nani aliliwa 🤣Unataka ujue ili iweje 😁😁
angalia na peaky blinders, au zero zero zeroGuys,
Jana nimeangalia The Day of the Jackal kwa mara ya kwanza na kuimaliza yoooote, baada ya bro wangu kuisifia sana, kiukweli ilinikosha ila sasa nimebaki najiuliza pale Jackal alipoenda nyumbani kwa yule kaka, wakakulana nani alimla mwenzie!???🤣🤣🤣🙌🏻
Jackal ali mkanyaga kijanaYaan sijui hata iweje ila nina hamu sana nijue nani aliliwa 🤣
Dah uta amini, niki kwambia nili maliza season zote za got chini ya wiki moja.Kwanza uliwezaje kuimaliza peaky blinders na unawezaje kurudia GOT wakati Mimi niliishia episode ya 3 nikaikacha