Series (Special thread)

Series (Special thread)

Inakuja changamka mbele ungeikazia tu...me mwenyew niliiacha then nikairudia
Yes inachangamka later na nzuri sana... Inteligence yake iko vizuri.... ingawa haipo fast kama 24 lakini ipo poa na some character wana maneno flani hivi amazing 🙂
 
Yes inachangamka later na nzuri sana... Inteligence yake iko vizuri.... ingawa haipo fast kama 24 lakini ipo poa na some character wana maneno flani hivi amazing 🙂
Hahaha asee nilikuwa nampenda yule mzee madevu alivyo na peter but my dogo alililia brody alivyonyongwa inauzunisha
 
Mzee wa madevu "Saul" myahudi wa ukweli..ana machale hatari..
Hahaha asee nilikuwa nampenda yule mzee madevu alivyo na peter but my dogo alililia brody alivyonyongwa inauzunisha
Hahaha asee nilikuwa nampenda yule mzee madevu alivyo na peter but my dogo alililia brody alivyonyongwa inauzunisha

Mzee wa madevu "Saul" myahudi wa ukweli..ana machale hatari..
 
Ambazo nimecheki ni
Prison break
The walking Dead
Arrow
Strike back
Blacklist
Kwasasa na cheki Empire
 
Ni Kama hiii shades of blue ya jlo nimeiacha maana naona ya kawaida mno.....saivi ukiigiza mambo ya kipolisi na FBI au CIA inabidi ukaze Sana maaana watu vichwani tuna series zetu Kali za hayo mambo. Sa wao wanafanya lelemama
Exactly, yaani 24 ilituharibu kweli now kila kitu cha kawaidaaa, ukijumlisha na huu ushoga wao ndio kabisaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom