Series (Special thread)

yewooooomiii,
unataka nipige ukunga mpaka sauti ifike JF..??
Mi huwa nazipenda zile horror ambazo mpaka unaogopa hata kwenda Toilet usiku, kuna movie moja nijifanya mbabe nataka niangalie usiku mida ya saa nne hivi,πŸ˜ƒπŸ˜ƒ ila niliishia dakika kumi tu nikasema hapana nitangalie kesho mchanaπŸ˜†πŸ˜†
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mambo ya kutazama vitu mpaka shuka likikugusa nyayo unapiga kelele me nataka..!!πŸ™Œ
 
dah pole mwanangu kuna yule jini ana smile mda wote mule sio powa anatisha mno kuna siku nilikuwa nimetoka kariakoo saa 9 usiku nikaingia kigamboni saa 9 kama na 30 hivi aloo lile giza nilipiga yowe kwa nje nilikutana na wadau nikazani ni wale wasela wa kwenye from kumbe ni sungu sungu tu kuanzia pale safari za usiku nilisitisha walahi
 
Unamkumusha tena huyo smiley wakati mwezako kasema anataka kuwasahau, πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… yeye ndotoni kaishafika season 6, maana kasema akilala story inaendelea na hao jamaa wanazidi kuongezekaπŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…