Series (Special thread)

Kwa anayehitaji Series, fanya kunitafuta (Call/WhatsApp) kwa namba +255688736202

» Hata kama imetoka leo, utaipata

Bei rahisi na inapungua kulingana na Mzigo unaochukua
 
Mi ninayo 24 hrs season zote ya kwanza mpaka ilipoishia
 
Kwa walioangalia Dark Matters Season 1. Kuna muendelezo wake ulitoka last year inaitwa Heroes Reborn, Season 1 ipo episode 13 nadhani ndo ya mwisho tunasubiri season 2 . Tamu sana hii heroes reborn.
 
Kwa anayehitaji Series, fanya kunitafuta (Call/WhatsApp) kwa namba +255688736202

» Hata kama imetoka leo, utaipata

Bei rahisi na inapungua kulingana na Mzigo unaochukua
Hivi Kuna watu wananunua series kweli?? Dunia ya leo??? Online kila kitu kipo wewe wauza?? Anyway kila la kheriii mkuu. Watakuja.
 

Hapo kwa Marvel dareDevil umeitendea haki...hiyo Mr Robot bure kabisa hakuna kituu, haina hata msisimuko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…