Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 20,978
- 46,669
Inaingia kwenye movies za wkend hiiMOVIE: THE HIT LIST
ni single movie ya 2011 kuna jamaa mmoja ni engineer anayekutana na siku mbaya kabisa, mshikaji anadaiwa deni na ameambiwa asipolipa siku hiyo atafanywa kitu mbaya na akamuahadi anayemdai atamlipa soon maana anaenda kupandishwa cheo aliohaidiwa na boss wake kwa hiyo siku gafla anapandishwa cheo mtu mwingine ambaye aliiba idea yake ambayo iliyomfanya apandishwe cheo badala yake,siku hiyo hiyo anarudi home anamfumania mke wake amefanya mapenzi na rafiki yake ambaye ndio alikuwa mshenga wake wa harusi.unafikiri baada ya haya yote nini kitatokea don't miss this movie
Carleen
Vincenzo Jr
Mr Q
dosho12