Series (Special thread)

Series (Special thread)

Ninayo kaka full HD vp niifute au niicheki
Madogo wanachekacheka tu, action zile za Kikorea watu wanapaa hatari😂, Kuna Dogo mmoja wakuitwa King of pirates akisema Gum Gum anavutika kama big G😇. Kama umeshaangalia show za kibabe kama Power, BMF, Seal team n.k, hii series utakua bored sana
 
Nimemaliza
Power book 1,2 na 3 nipo power book 4 Force season ya pili hope naona ndo walipoishia kutoa muendelezo.

Nmeanza kudownload Snowfall vp wakuu ni kali nayo?

NB:Hizi power najutia kuchelewa kuangalia ni kigongo haswa hasa hii Force kwangu ni kali ikifatia na Raising Kanan
Basi bana mi nilivyo ona jina POWER nikajua labda ni yale mambo ya uchawiuchawi farasi kuruka na kupaa kama tai? Kumbe unyama mwingi humu ndani?
 
Madogo wanachekacheka tu, action zile za Kikorea watu wanapaa hatari😂, Kuna Dogo mmoja wakuitwa King of pirates akisema Gum Gum anavutika kama big G😇. Kama umeshaangalia show za kibabe kama Power, BMF, Seal team n.k, hii series utakua bored sana
Pamoja na ukauzu wangu wa kukwepa series za kitoto lakini hii one piece na otter banks nilishindwa kuzikwepa. Ninaisubiri season two kwa hamu
 
Wazee wa LQ yani Low Quality hivi ni site gani au app gani tofauti na Moviebox yenye uwezo wa kupakua series yote kwa one click

Kuna mtu ameniomba hapa nikasema ngoja niingie chimbo kwa wataita wa hizi kazi ambao hata kwa bajeti ya mb400 anauwezo wa kushusha series nzima.

Sema anataka ku download series ila yale mambo ya kuokota kamoja kamoja ndio hayataki ye anataka akigusa mguso mmoja tu tayari season kaikamilisha.

Vincenzo Jr , Mr Q
 
Wazee wa LQ yani Low Quality hivi ni site gani au app gani tofauti na Moviebox yenye uwezo wa kupakua series yote kwa one click

Kuna mtu ameniomba hapa nikasema ngoja niingie chimbo kwa wataita wa hizi kazi ambao hata kwa bajeti ya mb400 anauwezo wa kushusha series nzima.

Sema anataka ku download series ila yale mambo ya kuokota kamoja kamoja ndio hayataki ye anataka akigusa mguso mmoja tu tayari season kaikamilisha.

Vincenzo Jr , Mr Q
Umenishusha sana we mwana simba mi sio wa LQ 😁😁😁 ngoja vincenzo aje alete site
 
Wazee wa LQ yani Low Quality hivi ni site gani au app gani tofauti na Moviebox yenye uwezo wa kupakua series yote kwa one click

Kuna mtu ameniomba hapa nikasema ngoja niingie chimbo kwa wataita wa hizi kazi ambao hata kwa bajeti ya mb400 anauwezo wa kushusha series nzima.

Sema anataka ku download series ila yale mambo ya kuokota kamoja kamoja ndio hayataki ye anataka akigusa mguso mmoja tu tayari season kaikamilisha.

Vincenzo Jr , Mr Q
Atumie onstream
 
Anatafuta series gani tujaribu kumsakia?
Aliniambia anataka series inaitwa the killing ya mwaka 2011

Nikampa link ya season 1 yenye 720p kutoka uTorrent ina 7.8GB akasema hiyo inachukua MB nyingi.

Nimetafuta chini ya hapo nimekosa.

Kiufupi akwende zake asitusumbue.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom