Nimeangalia series ya Lockerbie, episodes 5 tu, lakini nikawa interested na kile kilichoelezwa humo kuhusu tukio halisi la ajali ya ndege mwaka 1988... Ajabu kesi yake hadi leo hii bado inaendelea...
Ni hapo May mwaka huu kuna trial nyingine mahakamani... Still watu wanatafuta ukweli zaidi wa nini kilitokea, nani anahusika kuweka kilipuzi ndani ya ndege... Ambacho kilisababisha vifo vya watu 270, ingawaje hiyo huenda ikawa si idadi sahihi ya vifo... Sababu inasemekana siku hiyo ndege haikujaa na wengi wali cancel safari, na wengi wa hao waliocancel safari ni wafanyakazi wa serikali...
Very interesting