Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,248
- 79,831
ππππNgoja nikuache tu ubaki na matumaini hewa
Angedakwa mapema sana mkuu naunga mkono hoja bianca kimemponza nyegeHii ndiyo yenyewe aisee. Moto juu ya moto.
Naona Jackson Lamb angepewa kazi ya kumsaka the Jackal, angemkamata mapema sana kuliko Bianca. Ni kwamba tu kina Bianca wako MI6 na Lamb yuko MI5.
Je wangefanya ka crossover?
πππAngedakwa mapema sana mkuu naunga mkono hoja bianca kimemponza nyege
Alivyo mfata jackal kule Spain ndio kayatimbaπππ
Bianca mbona hata hapendi game kivile? Married to the job yule ππ
Ndo naimaliza season 1 nianze season 2Kuna animation sio za watoto. Watu wanachinjana mpaka unashangaa kuwa nayo ni animation
Waangaliaji wa Anime za Kijapani wanaelewa ninachosema π π
Umeona na hii, inaitwa Arcane. Ni animated series ila mkono unaopigwa humu sio wa kitoto.
View: https://youtu.be/fXmAurh012s?si=h32rhNzWYkfHlJ5n
Ikikamilika nishtue mwanangu, me silambagi vitu nusu-nusu..
Blue eyed samurai umeiona humu kuna watu hadi wanazagamua sehemu za siri zinawekwa hazaraniKuna animation sio za watoto. Watu wanachinjana mpaka unashangaa kuwa nayo ni animation
Waangaliaji wa Anime za Kijapani wanaelewa ninachosema π π
Umeona na hii, inaitwa Arcane. Ni animated series ila mkono unaopigwa humu sio wa kitoto.
View: https://youtu.be/fXmAurh012s?si=h32rhNzWYkfHlJ5n
hii inanifaa ngoja niitafuteBlue eyed samurai umeiona humu kuna watu hadi wanazagamua sehemu za siri zinawekwa hazarani
poa poa amigoIkikamilika nishtue mwanangu, me silambagi vitu nusu-nusu..
Mi siwezi poteza muda kuangalia muvi eti mtu akipiga ngumi chini mji mzima unatikisika. Akikuelekezea kiganja unapigwa na mionzi ujingaujinga tu.Nimeshindwa kabisa kupenda movie/series za Sci-Fi. Unakuta kuna character wanapaa kabisa au wengine wanatoa moto yaani ni balaa, napenda vitu vinavyokaribiana na uhalisia kama:
The Jackal
Paris has fallen
Billions
Black Mafia Family
Power
Queen of the South
The Suits
Hii nilishusha vipande vi 3 ila nimeisubirisha kwanza nipo na obliterated
Ni hatari mkuu, movie inaanza hadi inaisha inarekodiwa studio tu hakuna kwenda location, kila kitu kinatengenezwa kwenye computer. Sasa wanafanya hata radha hakuna.Mi siwezi poteza muda kuangalia muvi eti mtu akipiga ngumi chini mji mzima unatikisika. Akikuelekezea kiganja unapigwa na mionzi ujingaujinga tu.
Kuna uzi walianzisha kabisa wa marvels naona hata waanzilishi waliukimbia πππ