Simon Adebisi
JF-Expert Member
- Aug 7, 2018
- 1,274
- 2,462
Hii series sijaicheki nilikua naichkulia poa.... Huyu dada so ndo yuko kwenye the woman king??View attachment 3177281
Hili toto linazua mijadala mikubwa mitandaoni kama mtu mbaya The Jackal ameliua au la!
Kwa ninavyowajua wabongo watakua wamelipendea msambwanda Tu hakuna kingine🤕
Yeah yupo muleHii series sijaicheki nilikua naichkulia poa.... Huyu dada so ndo yuko kwenye the woman king??
Kule atujaonyeshwa kilichoendelea ila atakua alimua yule jamaa hana utanHivi yule Mwanae Jackal aliekuwa nae jeshin alikuwa anaitwa nani?
Najua ila osi alifuta mana ikijulikana kuwa ili kuwa planned bianca atumwe bc osi atafata ili nae afe.Kuna kameseji kakikuda bianca alimtumia afisa mwenzake. Sema afisa ni.mwoga kinoma alifuta palepale
Wajomba ni ma spy wanapiga kazi kinomaAsee hii inaonekana chuma hasa wadau mlete mavituzi tuburudike namna hii. Namwona mzee wa bullet train ndaniii 😋😋😋
Na rangi yake pia ipo vizuri sana 😍😎😋View attachment 3177281
Hili toto linazua mijadala mikubwa mitandaoni kama mtu mbaya The Jackal ameliua au la!
Kwa ninavyowajua wabongo watakua wamelipendea msambwanda Tu hakuna kingine🤕
😀😀😀😄Wabongo wanapenda sana chini, wakiongozwa na huyu mwamba Vincenzo Jr
View attachment 3177281
Hili toto linazua mijadala mikubwa mitandaoni kama mtu mbaya The Jackal ameliua au la!
Kwa ninavyowajua wabongo watakua wamelipendea msambwanda Tu hakuna kingine🤕
Season 2 utamuona tena 😎😀😄😀😀😀 si unatujua wabongo 😀😀😀
Demu lina jeuri, linajiona lijanja kisa tu linajua majina ya silaha mbali mbali na kushika bunduki. Wenzake wameangamizwa katika msako wa the Jackal ila yeye bado hajifunzi kumuendea kiakili zaidi. Yeye anataka kumdaka tu mwamba kwa gharama yoyote ile 😃😃. Alizidisha ujuaji. Sijui kipi kilimfanya afikirie eti ataweza kumdaka kirahisi rahisi tu top sniper kama Jackal nyumbani kwake, apajuapo kila kona na huenda kaset kila aina ya mtego...yeye anajiendea endea tu...
Ila sambwanda lipo, hivyo wabongo tukamvumilia
Natamani kusema 'nakuhakikishia hata kuwepo' ila haya mambo huwezi jua.Season 2 utamuona tena 😎😀😄View attachment 3177883
Hii series kalii sana mwaka huu tumepata series nyingi kalii sana huu mwaka mzuri sanaNatamani kusema 'nakuhakikishia hata kuwepo' ila haya mambo huwezi jua.
Hakuna mantiki ya kumfufua na hakuna namna ya kutuaminisha alipona kule Spain. Ukimuangalia huyu demu kwa jicho lingine, unaweza kusema yeye ndiye alikuwa adui na Jackal ndiyo steringi eti... Na Season 2 itamfanya Jackal awe main protagonist huku akina Isabel, Mzee Winthorp na Whitelock wakiwa main antagonists.
Jackal ataendelea kutembeza adhabu kwa wahuni kwenye system, huku akifukuziwa na akina Osita (na Osita atakuwa anamsaidia kisiri siri ili amshughulikie kwa ndani Isabel), huku pia akijitahidi kunusuru ndoa yake na kuwalinda awapendao. Itakuwa rahisi zaidi ya audiences kuconnect na Jackal na kumpa support.
Hii series kalii sana mwaka huu tumepata series nyingi kalii sana huu mwaka mzuri sana
Naomba recommendations za nyingine kama hii. Hii yenyewe nimeibahatisha tu maana nilikuwa na kile kitabu ila sikukisoma mpaka nikaja kukipoteza. Adaptations za vitabu napenda maana nilikuwa napenda kusoma vitabu vya action. Authors niliokuwa nawakubali sana ni Lee Child na David Baldacci, hivyo Reacher sikuiacha inipite maana nimesoma vitabu kama 6 hivi vya jack Reacher.Hii series kalii sana mwaka huu tumepata series nyingi kalii sana huu mwaka mzuri sana
The penguinNaomba recommendations za nyingine kama hii. Hii yenyewe nimeibahatisha tu maana nilikuwa na kile kitabu ila sikukisoma mpaka nikaja kukipoteza. Adaptations za vitabu napenda maana nilikuwa napenda kusoma vitabu vya action. Authors niliokuwa nawakubali sana ni Lee Child na David Baldacci, hivyo Reacher sikuiacha inipite maana nimesoma vitabu kama 6 hivi vya jack Reacher.
Cross nimeangalia Season 1 japo sijawahi kusoma vitabu vyake. Jack Ryan nimeshindwa kuielewa baada ya season 1 tu.
Bianca tunampenda ila ndiyo hivyo tena mkuu.NEXT SEASON
Akishampata Mama Watoto Wake Nuria,
Utamu Wote Wa Msimu Wa Pili Utahusisha Kuzitaka Pesa Zake Ambazo Hajalipwa.
Je Bianca Wakati Huo Atakuwa Upande Upi
View attachment 3177940
Asante sana mkuu. nawaza nianze na Paris has fallen.The penguin
The diplomat
A man in full
Paris has fallen
The night manager
Bodyguard
Eric
Fallout
Traitor
Patriot
Fubar
Hizo mkuu hapo niongeza ni
The Americans na Tulsa kings
Bora breaking bad nliweza hiyo game of thrones nlishindwaHivi mnawezaje kumaliza series ndefu kama breaking bad na game of thrones