Nimeimaliza episode 9. Ni moja ya series ambayo huwezi pata lepe la usingizi ukiwa unaiangalia.
Hiki kipande cha 9 nacho kiko motooo. Wemzetu hata kama ni uigizaji wapo mbali mno. Hizi Ideas zenyewe sijui kama wana intelijensia wetu wanazo. Na kama wanazo basi serikali iwaongezee bajeti ili iwe kitengo cha kisasa HASAHASA.