Mi kila action ya humo nimeikubali. Kuanzia visu bunduki n.kπππ Humu Kuna mwana alipigwa flampeni sijui kalai lile la kichwa
Hadi Mimi kaka na nimependa walivyojitahidi sana kwenye milio ya visu na risasi ni uhalisia kabisaMi kila action ya humo nimeikubali. Kuanzia visu bunduki n.k
Kuna watu wamekula visu na kufumuliwa vichwa balaaHadi Mimi kaka na nimependa walivyojitahidi sana kwenye milio ya visu na risasi ni uhalisia kabisa
Kuna mwana pale opening scene aliliwa kichwa na lile panga la kininjaKuna watu wamekula visu na kufumuliwa vichwa balaa
Shukrani sana ndugu
Halafu scars anazingua eti hajaikubali. Nimemwomba ratings mpaka sasa bado ameuchunaππKuna mwana pale opening scene aliliwa kichwa na lile panga la kininja
πππππ Ngoja amalize hadi mwishoHalafu scars anazingua eti hajaikubali. Nimemwomba ratings mpaka sasa bado ameuchunaππ
Hiyo ntaimaliziaga siku nyingine, nikiimaliza narudi kutoa feedback.Halafu scars anazingua eti hajaikubali. Nimemwomba ratings mpaka sasa bado ameuchunaππ
Hii time travel kalii sana hii Ina kastory kama cha series ya lostHiyo ntaimaliziaga siku nyingine, nikiimaliza narudi kutoa feedback.
Mpaka inaisha nitakuwa nimeiangalia siku 3
Saizi sina mood, kuna series nyingine hapa naipakua nayo naivutia time tu nipate vibe nije kuicheki
View attachment 3140024
Nimeiona kipande huko instagram nikajikuta nipo interested nilipocheki rate 1mbd nikakuta 7/10 nikaona ni standard nikaamua kuivutaHii time travel kalii sana hii Ina kastory kama cha series ya lost
Hii the green mile nilitazama hadi nikalia inasikitisha sana huyu mwana alisingiziwa kesi afu mwana kumbe ana nguvu za ajabu huyu jamaa sema alikata tamaa akaamua anyongwe tu ila alimsaidia sana mkuu wa hiki kitengo maana mwana alikuwa awezi kupelekea moto alikuwa anaumwa tatizo la mfumo wa mkojo ila alisaidiwa na huyu mwambaNimeiona kipande huko instagram nikajikuta nipo interested nilipocheki rate 1mbd nikakuta 7/10 nikaona ni standard nikaamua kuivuta
Na kuna single movie nyingine yakitambo (1999) ya kuhuzunisha nayo nimeipata kupitia reels za insta kwenye kile kipande ambacho jamaa ana nyongwa kwenye kosa ambalo hajafanya, nimeivuta inaitwa The green Mile
View attachment 3140026
Nimeicheki rate zake zimesimama kwenye 8.8/10Hii the green mile nilitazama hadi nikalia inasikitisha sana huyu mwana alisingiziwa kesi afu mwana kumbe ana nguvu za ajabu huyu jamaa sema alikata tamaa akaamua anyongwe tu ila alimsaidia sana mkuu wa hiki kitengo maana mwana alikuwa awezi kupelekea moto alikuwa anaumwa tatizo la mfumo wa mkojo ila alisaidiwa na huyu mwamba
Ila utalia sana na kihuzunika sanaNimeicheki rate zake zimesimama kwenye 8.8/10
Hii ntaipa kipaumbele zaidi
Aaah mi mgumu sana kutoa chozi.Ila utalia sana na kihuzunika sana
Mimi nililia humu ππAaah mi mgumu sana kutoa chozi.
Nikiona tu inaleta mitikasi ya kunihuzunisha huwa nafikiria mambo mawili
1. Ni ile soundtrack inayo play background wakati wa hilo tukio la kuhuzunisha. Hiyo ndio imebeba huzuni.
2. Ni maigizo tu ambayo kuna behind the scenes ambazo zilifutwa za wao wakiwa wanacheka pale ambapo walishindwa kuigiza script ilivyotakiwa.
Kwa hiyo nikifikiria hayo mawili huwa nakuwa normal kabisa.
Basi itakuwa huwa unaangalia huku pembeni kuna watu wanakugasigasi labda washkaji au babies a vyovyote vile. Utulivu unakuwa kwa asilimia ndogo. Yes mwanaume unaweza usilie ila fundo la huzuni lazima liuzonge uso wako na mawazo yako. Mara ya mwisho kuhuzunika nilikuwa naangalia train to busanAaah mi mgumu sana kutoa chozi.
Nikiona tu inaleta mitikasi ya kunihuzunisha huwa nafikiria mambo mawili
1. Ni ile soundtrack inayo play background wakati wa hilo tukio la kuhuzunisha. Hiyo ndio imebeba huzuni.
2. Ni maigizo tu ambayo kuna behind the scenes ambazo zilifutwa za wao wakiwa wanacheka pale ambapo walishindwa kuigiza script ilivyotakiwa.
Kwa hiyo nikifikiria hayo mawili huwa nakuwa normal kabisa.
Finally...!!π₯π₯View attachment 3139972
Wale wazee wa mpaka itimie kazi kwenu sie wanenu wa Moja Moja tayari tushamaliza Cc Carleen Mr Q
Season 1 imetimia kazi kwako
Aaah mi kulia sio rahisiMimi nililia humu ππ