Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,255
- 79,850
Hii series ilinichanganya sanaDark Matter Msimu Wa Kwanza Uliishia Na Episode 9
Itarudi Kwaajili Ya Msimu Wa PilView attachment 3096383i
😁🤣🤣 Ni Moja ya series nzuri sana ukitulia inaeleweka mkuu 😂 😁Hii series ilinichanganya sana
Ila iko vyedi
Aicheki.Ukimaliza cheki na spin yake house of dragon 🐉
🤣😁😁 Exactly sema apite nayo tu 😂 😁Aicheki.
Sema HOD wamepuyanga mno kwenye Dialogue, plot hata character development yake iko ovyo.
Ile ladha ya GOT haipo kabisa kwenye HOD.
Overall GOT ni next level. Jamaa walitulia hapa karibia kwenye kila kitu.
Ije aisee, the future is not ours to see🔥🔥Bado siku 6 wanakujaaa Cc rip faza_nelly
Countdown To FROM | Season 3 Premiere DateView attachment 3097428
Whatever Will Be, Will Be (Que sera, sera)Ije aisee, the future is not ours to see🔥🔥
Watu wengi season 1 waga inawashinda, ila wewe tayari ushakua hooked, huko mbeleni addiction yake ni balaa.Hakika nimejichelewesha sana aise hii series ya Game of thrones ni babalao duhh kuna watu wamebarikiwa akili aise hao waliotengeneza hili dude ni balaa
Kuna mwingine anaona breaking bad ni upuuzi pia mnafata mkumbo tu.NARUDIA TENA BREAKING BAD,GOT NI UPUUZI TU NA KWA BAHATI MBAYA WABONGO KWA KUFUATA MKUMBO TUKO VIZURI
NARCOS HAKUNA KAMA HII
Mkuu mimi narcos ndio miongoni mwa series nilizoanza nazo nikasema hamna kali kama hii lakini nikazidi kuangalia na zingine in short mkuu uwanja wa series kali ni mpana sanaNARUDIA TENA BREAKING BAD,GOT NI UPUUZI TU NA KWA BAHATI MBAYA WABONGO KWA KUFUATA MKUMBO TUKO VIZURI
NARCOS HAKUNA KAMA HII
Asee mkong'oto wa humu balaa.😁😁😁DEADPOOL & WOLVERINE’ releases on digital platforms on October 1 ⚔️
Mr Q Carleen
View attachment 3098184View attachment 3098187
Naam Kabisa kaka 🤣 😁Asee mkong'oto wa humu balaa.😁😁😁
Nlitaka nishushe hii kitu ila nikakutana na hii comment. Mkuu hii si spoiler kweli, make mpaka hapa nahisi nishajua kinachoendelea humo ndani.Jaden sabich ndio alie muua Carolyn Polhemus na yeye baba mtu siku ya kufika kwenye tukio akaiishia kumfunga kamba marehemu ile series kalii sana kilicho mfanya dogo Jaden aue ni yule bidada kuwa na mazoea na baba yake afu akawa anajifanya ntu asiyekuwa na hatia 😁😂😂
Mnaambiwa Kabisa ili Msije kusema season ni mbaya hamchelewi nyinyi 🤣😁😁😁😁😁😁😁Nlitaka nishushe hii kitu ila nikakutana na hii comment. Mkuu hii si spoiler kweli, make mpaka hapa nahisi nishajua kinachoendelea humo ndani.