Series (Special thread)

Mr and mrs smith 24
Dark matter
How to.get away with murder
New amsterdam
Power
Severence
The bridge
Tracker

True detective
Anza na mr and mrs smith ni kali sana, nimekuambia uianze hii kwasababu ndio latest halafu bado season 2 inasubiriwa.

Kuna kiswahili kibovu kilitamkwa hapo
Your browser is not able to display this video.



So baada ya kuimaliza hiyo njoo kwa 50 Cent kwenye Power ucheki namna drugs dealer wanavyo uana.

Your browser is not able to display this video.


Makeke ya 50 kwenye robbery
Your browser is not able to display this video.


Kutana na muhuni Tommy mzee wa temper
Your browser is not able to display this video.
 
Mr and mrs smith 24
Dark matter
How to.get away with murder
New amsterdam
Power
Severence
The bridge
Tracker

True detective
Tracker nimeangalia episode 3 nikai skip ila sio kama ni mbaya.

The bridge ni series ya ki British inaonekana ni kali mno

Nilianza jana kuiangalia episode 1 umeme ukafakisha kabla hata sijaimaliza.

Zingine hizo bado sijazicheki kabisa.
 
Tracker nimeangalia episode 3 nikai skip ila sio kama ni mbaya.

The bridge ni series ya ki British inaonekana ni kali mno

Nilianza jana kuiangalia episode 1 umeme ukafakisha kabla hata sijaimaliza.

Zingine hizo bado sijazicheki kabisa.
Nimeangalia traillers hapo naona kama
mr&mrs smith 24
Severance
The bridge
Ni real deal nitatembea kwanza na hizo
 
Sema kufatilia epsode moja moja nayo daah inatia uchungu. Kama hapa nimemaliza kuangalia espsode 4 yaani nianze tena kusubiri hadi jumatatu tena itoke epsode ya tano.
Hadi Mimi kaka sema episode ya 4 kalii sana yaani ngoja tuone wiki inayofata itaendelea vipi hii series kalii sana yaani
 
Hiyo Adam sijaicheki.

Ila Power ni series nzuri kama Snowfall na maswala ya drugs.

Ni nzuri sana
Asee ulikuwa wapi siku zote kunambia 😁😁 nimeanza moja inaitwa hotel cocaine baada ya kumalizana na your honor(series moja tamu sana yenye hekaheka za kupindisha sheria kuficha uchafu bila kupenda)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…