Ilankunda1234
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 4,840
- 4,806
Mi natamani kila kinywaji kinachoitwa bia kusiitwe pombe,.
Jina linalofaa hapo liwe JUISI KALI
Maanake hiyo serengeti lite ukinywa kwa viazi au vipande vya mihogo aseee utajisikia raha, na baadae ukashushia supy ya mchicha haloo.
Ukikaa baada ya dk , kumi ukapiga k vant yenye mchanganyo na konyagi, wakati wa kulala
Jina linalofaa hapo liwe JUISI KALI
Maanake hiyo serengeti lite ukinywa kwa viazi au vipande vya mihogo aseee utajisikia raha, na baadae ukashushia supy ya mchicha haloo.
Ukikaa baada ya dk , kumi ukapiga k vant yenye mchanganyo na konyagi, wakati wa kulala




