Serengeti Lite inavyoitesa TBL

Serengeti Lite inavyoitesa TBL

Hii beer inatufilisi pamoja na castle lite yaani mchepuko inakata kreti unaiangalia tu.
Kuna demu alikunywa 13 pale mbagala rangi 3 huku mi nakomaa na konyagi ndogo... Nikaamua kutemana nae hapohapo.
 
Kuna tofauti kubwa sana kati ya beer na pombe. Castle lite ni brand kubwa duniani. Wakati Serengeti lite ni pombe inayouzwa ndani ya Tanzania. Sina uhakika kama ilishawahi kuwa xpoted.

Castle lite = Beer
Serengeti lite = pombe

Cc: TBL
 
Bia gani za kidemu hizi unakunywaaaa weeeee hulewi

Mi nakula Balimi extra lager za bariiiiiidiiiii, Safari, Castle lager nashushia na mzinga wa K-vant hizi ndo pombe zangu
 
Balimi na aina hizo ni kwa wasio na hela. Wengi wapo kikosi cha mizinga
Kivipi mkuu wakati huku lake zone tunauziwa Sere lite 1500 na balimi extra lager 1500,halafu balimi za huku sio kama hayo ya Dar ya huku yapo standard sana hasa upate ile bariiiiidi
 
Ukitaka kujua hii sio bia ni maji ya kunywa nenda mikoa ya baridi halafu uzigonge izo
 
Hako kabia ka hovyo kabisa yaani unakuta watoto wadogo wamechafua meza na huto tubia. Yaani nimeachana na bibi mie sasa hivi ni mwendo wa wine na to whisky hivyo vidudu havipishani na azam kola
 
Huwa nagonga safari nikiona kichwa kimechoka nagonga hiyo safari yote inaisha naanza upya sijajua siku nikiamua kunywa kama ntapata starter
Kumbe hata wewe unakatumia 'kupozea' Engine. Mimi huwa naanza na Kvant kubwa ikiisha napiga Serengeti light 3 kisha narud tena Kiumeni
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom