Serengeti Lite inavyoitesa TBL

Serengeti Lite inavyoitesa TBL

Tukienda bar ukiagiza ako kadude nakukimbia.hakana tofauti na maji ya dasani.no stimu kabisa
 
Ni kweli wanakimbiza sana hasa maeneo ya mijini kinauzika sana kuliko nje ya miji.
Mie bia yangu castle lager tena nipate mchupa ule mrefu virikuu hapana...
 
Nimekunywa bia ngumu karibia zote, mara nyingi huwa zinanipunguzia uwezo wa kufanya kazi siku ya pili.

Ila hako ka kirikuu naamka niko timamu asilimia mia.
 
Kwa tulio simiyu hzo lite hatuzijui..weka safari mbuyu na castle lager za kutosha..fukia nyama na maji ya jambo ya kutosha ...kesho unaamka saaafi kbsa
 
Nimekunywa bia ngumu karibia zote, mara nyingi huwa zinanipunguzia uwezo wa kufanya kazi siku ya pili.

Ila hako ka kirikuu naamka niko timamu asilimia mia.
Kumbe na ww ni mwanachama njoo hapa Facebook nkununulie hata tatu
 
Hii ni Kwa walevi tu.
Nakumbuka TBL ziliva sana miaka ya nyuma.
Ila tangu Serengeti Breweries walete hiki l bia cha Serengeti Light aisee jamaa wanauza balaa.
Yaani ukienda bar utakuta zaidi ya nusu ni hako kabia. Halafu hakana harufu mbaya.
Hongera mpishi na mgunduzi wa hako kabia.
Kanauzwa bei gani
 
Hii ni Kwa walevi tu.

Nakumbuka TBL ziliva sana miaka ya nyuma.

Ila tangu Serengeti Breweries walete hiki l bia cha Serengeti Light aisee jamaa wanauza balaa.

Yaani ukienda bar utakuta zaidi ya nusu ni hako kabia. Halafu hakana harufu mbaya.

Hongera mpishi na mgunduzi wa hako kabia.
Ni bia moja ambayo haina viwango kabisaaa Sema watu wanafuata mkumbo na bei Poa
 
Mm ninayepiga bapa kubwa mbili za K vant nikinywa hyo silazima nimalize semi nzima?
K Vant mchumba tuu mkuu,kuna huyu mzawa wa kwanza kiumeni hapa.
20190421_185842.jpeg
20190421_185920.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom