Tajiri Kichwa
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 9,019
- 21,913
Kanda ya Ziwa ndani kabisaaa... Serengeti Lite ipo. Tena USUKUMANI
Sent using Jamii Forums mobile app
Busanda nyamaliwa ndani unakufahamu
Kanda ya Ziwa ndani kabisaaa... Serengeti Lite ipo. Tena USUKUMANI
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui unongea takataka gani sisi tunaongela suala la market unakuja na porojo za mwanza sijui mwanzaEti waiuzie dar tu! Ungejua hata hii balimi extra lager huko dar na kwingineko mmeazimwa tu, hilo jina tu BALIMI ni kisukuma kwa maana ya WAKULIMA. kwa taarifa yako hiyo ni KANDA YETU, BIA YETU. na hapo awali ilikuwa inazalishwa na TBL kiwanda cha Mwanza tu ila baada ya kutisha sana watu wakawa wanaivusha nje ya kanda basi TBL wakaona isiwe tabu ikaanza kuzalishwa na kwengineko. Na ufahamu balimi ya Mwanza ni kiwango na radha ukweli tofauti na balimi ya dar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda kwenye mada za kwenu nyie wa mbingunihii ni mada ya watu wa motoni inshaaallah
Unajuwa, kwenye product kuna kitu inaitwa FOUR PHii ni Kwa walevi tu.
Nakumbuka TBL ziliva sana miaka ya nyuma.
Ila tangu Serengeti Breweries walete hiki l bia cha Serengeti Light aisee jamaa wanauza balaa.
Yaani ukienda bar utakuta zaidi ya nusu ni hako kabia. Halafu hakana harufu mbaya.
Hongera mpishi na mgunduzi wa hako kabia.
Castle lite walipaswa kushusha bei kabla ya ujio wa Serengeti liteCastle lite imepotezwa kabisa
Na filigisi pia right?Mkuu bei gani hii? Hii unaeza pasua koo,maini, bandama ,figo na mapafu 80% ABV si mchezo aseee
Ukigonga c lite we asubuhi tumboni ni kama Iraq kwenye base za USA ila ukigonga sere lite hata crate wewe tu ikifika 8 usiku mzigo wote umekataCastle lite imepotezwa kabisa
Kwa wengine hata hizo ulizozitaja ni kama maji tu. Bila gongo halewi mtu.Mi ntakunywa hata kreti na silewi hata, hizo ni kwa wanawake ila nashangaa hadi wanaume wanakunywa shame on you
Cc.balimi,plisner,safari,