Serengeti Lite inavyoitesa TBL

Serengeti Lite inavyoitesa TBL

Mi Serengeti lite,Kilimanjaro,Heineken,castle lite zote hizo siwezi kunywa zenyewe,huwa nachanganya na K vant kubwa au Gordons,nikinywa yenyewe naona Kama nakunywa maji tu!
 
Wakuu mawazo yenu wote tumeyaona.
Mimi ni staff TBL tena muda mrefu sana.
Huo utafiti wenu
wa baa 2 za mjini unawapotosha.
Tbl bia zinauzika sana yaani mpaka tunashindwa kulala order ni nyingi sana na kila siku tunapewa bonus ya mauzo mazuri.
Kuna calculation za mauzo wakuu sisi sio wajinga tumuone serengeti anatusumbua kizembe hivyo.
Tunaangalia market share na sio baa share.
 
Wewe ni lini kampuni za juisi au coca cola zimewahi kukupa tuzo za unywaji???
Na kwa taarifa yako tunezika watu wengi kama wewe waliokuwa wanasema eti pombe zinaua..
 
Kabia kwa wanawake hako yaani nikikuta Me anakunywa hiyo bia nashangaa sana
Naweza vipiga 40 na bado hakuna stimu sana sana kujaza tumbo
 
Sidhani sana ...maana kila mtu na upenzi wa bia yake ,inaweza kuta sehemu unazo enda watu waliokuja kunywa bia wana budget ya 20,000 so lazima wakimbilie humo. Nilienda kanda ya ziwa huko ndani ndani,kuna watu hawajui kama kuna bia inaitwa serengeti lite wao ni balimi na safari
..ila kwa Dar es Salaam kajitahidi kuibrand bia yake vizuri ,though tbl wao bia yao wanaona iko kwenye market vizuri tuu
Kanda ya ziwa habari nyingine kule mzee baba machozi ya simba ndio kinywaji halisi bia tunasingiziwa tu ndio maana tukaletewa balimi at least inapanda kidogo
 
TBL huu ushauri wa bure fanyeni hivi, toeni Balimi lite, ipeni muonekano mpya package yake I we nzuri, kisha chukueni ile test ya castle lite muichakachue kidogo kisha mmtupie kwenye Balimi lite, alafu mkitaka mteke soko hiyo Balimi lite muanze ifanyia marketing a dar tu, uko mikoani waisikie nakuiona kwenye TV na kuisikia kwenye radio baada ya miezi mitatu ya promo dar ipelekeni mikoani sasa nawambia Serengeti lite itapotea gafla mtaendelea kusumbua tena sokoni.
mkuu tatizo jina hilo la BALIMI nalo sio kabisa halivutiii limekaa kikulimakulima
 
Serengeti lite ya baridi na kitimoto ni tamu haswaa ila nkishapiga Serengeti mbili au tatu naita Pombe sasa either gordon au Kvnat.
 
Bia zenye chupa ya kijani NAHISI NI KAMA NOVIDA TUU

HUWA SILEWAGI WALA NINI SIWEZ KABISA POTEZA HELA YANGU KUNUNUA HIZO BIA ZA KIKE

KITU MAVYUPA YA BROWN,BALIMI,BINGWAA, CASTE LAGER,SAFAR NK

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom