Serengeti fiesta 2014 special thread

Ukitaka kuuliza huyo Diamond kawafanya nini watakuambia ni dharau? Je hizo dharau alimfanyia nani na lini? Au kupata mafanikio kidogo ndio dharau? Pengine ndio maana wasanii wetu hawafanikiwi kwa sababu ya viwivu vya kijinga kama hivi.

Dharau za kutungatunga tu wabongo fitna nyingi sana
 

Hizo sababu zenu za kutunga hizo haha..Dimond alidharau lini au mkate mdogo anaoupata unawaumiza sana
 
jamani mwacheni Daimond afanye yake na kiba afanye yake.mbona mnataka mmoja wapo ashuke.mie am happy kuona Daimond na kiba wote wapo juu.ntasikitika mmoja wapo akishuka.

Nashangaa wote wetu TZ kwa nini tunabaguana mbele ya wale wageni ambao hata sijaona kilichowaleta zaidi ya Kelele tu
 

Ajiulize inspector haroun na Juma nature wapo wapi??!
 
 

Marco chali mj records
 
Mmmhhh katia huruma haswaa!!!
watu wangu wa kinondoniii mpoo ?watu kimyaaaaa!!! kiba kiba teh dogo kaaibika mbaya!!
Bora hajampandisha wema wake angeaibika zaid!!!!
 
kwan kulikua na ulazma wa kumshanglia huyo dai pekee..me mwnyw ningekuepo fiestan ningemzoea afu sna sababu ya mcng zaid ya kua smpend tuuu...yan smpnd tuu
 
hivi kuna msanii alikua juu km nature,inspector?
msidharau mashabiki wala
walimuweka juu
nature alijaza diaomond jubilee peke yake anazindua albamu enzi hizo
jiulize mziki wa diamond unasikilizwa sana wapi?kwa watoto wa kiswazi
mtoto wa kishua ye mda wote na kina beyonce na wiz khalifa
msimlaumu kiba hana makosa hata kidogo mlaumuni diamond wenu kwa kujifanya ye sio wa kule kwetu mbagala,manzese,vingunguti na uswahilini kote
wabongo hawapendi shobo
waulizeni EAST COAST TEAM watawaambia
bongo fleva ya kwetu uswahilini jamani
 
Mmmhhh katia huruma haswaa!!!
watu wangu wa kinondoniii mpoo ?watu kimyaaaaa!!! kiba kiba teh dogo kaaibika mbaya!!

Lakini tukumbuke kwamba Diamond uwa habwetek, hakatishwi tamaa na always hupenda wa prove watu wrong.
Unakumbuka alivyotoa KULEWA'
alipondwa sana kuwa kaiba ngoma. Nikajua atapotea kwenye game.

In a week akaja na KESHO.

Watu kimya.

Alipota NUMBER ONE -yakaibuka yaleyale kaiba.
Akawatuliza na mdogomdogo.

Tusubiri NEXT MOVE.
 
Tuache ushabiki maandazi, wanao mtakia mema diamond wamshauri aache dharau ama sivyo atazomewa sana aiseee!
 

Daaa mbona uandishi mbovu sana hivi ngumu kueleweka banaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…