Serengeti fiesta 2014 special thread

Serengeti fiesta 2014 special thread

Thnk diamond atarud tena aftr davido.....kwenye ile my namba one remix....si rahisi Boss Ruge kukubali kirahisi
 
Mpaka katafita kiki kwa ney lkn wapi watu wapo bize na kumpiga picha na simu kama katuni
 
Chezea pesa wewe.Davido anapanda Mabarua yenu ya Mahakamani pelekeni kwa mahakimu wenu wasiosoma.
 
Diamond best Artist japo Clouds wanataka kumshusha ila wapenda haki tutambeba,kasema neno moja tu kwamba 'Humu ndani leo kuna uhuni mwingi' nadhani anajua kilichofanyika.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Diamond best Artist japo Clouds wanataka kumshusha ila wapenda haki tutambeba,kasema neno moja tu kwamba 'Humu ndani leo kuna uhuni mwingi' nadhani anajua kilichofanyika.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums

Kweli mkuu. Ndio maana kawakomoa kapiga nyimbo moja kasepa zake.. Show ya fiesta imeshaisha hovyo labisa
 
diamond best artist japo clouds wanataka kumshusha ila wapenda haki tutambeba,kasema neno moja tu kwamba 'humu ndani leo kuna uhuni mwingi' nadhani anajua kilichofanyika.

Sent from my blackberry 9800 using jamiiforums

absolutely !!!!
 
Ndio najiandaa kupanda mimi Davido wa Ubungo.Davido wa ukweli yuko hotelini anaogopa kupanda jukwaani.
 
Back
Top Bottom