Sera ya matajiri wakubwa nchini kuwa Raia wenye asili fulani na kazi fulani iwe yenye malipo makubwa zibadilike!

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Oct 29, 2019
8,526
17,431
Wakuu
Poleni na majukumu.

Katika kitabu cha Ndugu yetu Reginald Mengi alichochapisha KABLA hajaitwa na Baba mwenyezi.

Kitabu cha I can,I must and I Will kilieleza wakati ngumu Sana aliopitia na vikwazo vyake alivopitia wakati wa harakati zake kiuchumi enzi za uhai wake!Moja Kati ya malalamiko yake ni wazawa kutopewa kipaumbele na serikali kwenye fursa za uchumi kama waliyopewa wageni hasa Raia wenye asili Asia.

Kwamba Raia wenye asili ya Asia walipewa kipaumbele na sapoti ya kutosha katika uwekezaji wao kiuchumi KULIKO wazawa na Hii ilileta pengo kubwa la utajiri Kati ya wazawa na Raia Hawa wenye asili ya Asia Hadi leo.
Majina yanayowika kwenye uchumi wetu Hadi leo ni ya Hao raia KULIKO sisi wenyewe!!

Ni dola pekee inayoamua mambo hata wala sio utashi wa mtu mmoja na hilo hufanywa KWA sababu mbali mbali wanazijua wao.

Umefika wakati wa kubadili sera hii na sisi wazawa tuwe matajiri ndani ya nchi yetu wenyewe kama ilivyo huko marekani ambapo matajiri wazawa Ndio wameshikilia uchumi wa nchi hiyo Hadi leo.

Sioni faida tena KWA dola kuwapendelea wageni na kuwasahau wazawat kama ilivyo Sasa.

Pia kazi ya siasa kuwa ya malipo makubwa Sana KULIKO nyingine na kama ualimu,udaktari na nyinginezo ni kujali kundi dogo la watu kuacha Kundi kubwa la wananchi ambao wangesaidia kukuza mzunguko wa uchumi KULIKO Sasa.

Sera hizo mbili ambazo zimeratibiwa na wenye Dola zinapaswa kubadilika kuendana na nyakati za sasa!!

Naamini wenye dola watafanya Mabadiliko ya kimfumo kuelekea katiba Mpya ijayo Ili kuondoa Hali iliyopo inayowafanya wananchi kuwa watumwa katika nchi yao huku wageni wakiwa maboss!!

Naendelea kuamini yupo mtu anaandaliwa na dola ambaye atakuwa Rahisi kuendana na Mabadiliko hayo.
Mungu ibariki TANZANIA
 
Umefika wakati wa kubadili sera hii na sisi wazawa tuwe matajiri ndani ya nchi yetu wenyewe kama ilivyo huko marekani ambapo matajiri wazawa Ndio wameshikilia uchumi wa nchi hiyo Hadi leo.

Marekani wote ni wahamiaji waliokaa muda mwingi. Wametoka asili za Ireland, Italy, Germany, Israel, Africa, India, Tanzania kwa kutaja tu kwa uchache. Dola zote kubwa duniani zilikumbatia wanaoitwa itwa 'wageni' baada ya kuona wana kitu fulani kinaweza kuisaidia dola kiuchumi, kibiashara, ajira, elimu, uzoefu na pia kiuongozi ktk mfano jeshi n.k n.k

Kinachowaangusha 'wamatumbi' wengi ni aina ya malengo yao ktk maisha na jamaa wanaowazunguka (maisha binafsi / private life). Elimu kubwa umepewa, umeshika nafasi kubwa kubwa serikalini kwanini ustaafu mapema uanzishe biashara kama za Reginald Mengi, Jumanne Kishimba, Eric Shigongo n.k unabaki kungangania ajira unayoamini wewe na jamaa zako kuwa "umeula" na ni job security uendelee kufanya ufisadi n.k?


Mfano utafiti wa Chuo Kikuu cha California umefanyika kujua sababu ya nchi kama Kenya kuwa wameajiri wageni toka ulaya kuongoza kampuni kubwa kubwa, sababu zinaakisi aina ya maisha ya wamatumbi :


MKWAMO WA KIUTENDAJI WA VIONGOZI WATEULIWA WA UMMA

Matatizo ya viongozi wetu wakubwa wa umma na wasomi wenye vyeo ktk ofisi za umma.

Chuo Kikuu cha University of California, USA kimebaini masuala mengi ktk jamii inayowazunguka wateule hawa kama mawaziri, makatibu wakuu na hata waajiriwa wasomi ktk nafasi mbalimbali wanaosemekana 'wameula' yanawakabili kiasi cha kushindwa kufikia utendaji unaotarajiwa tukiwalinganisha na wenzao katika nafasi hizo hizo Marekani ya Kaskazini, Ulaya ya Magharibi, Japan, Asia na nchi za Oceania

Chapter Eleven — The Unofficial Lives

The behavior of most African public servants cannot be understood if we confine our observations to the office place. The demands of private life have an especially profound effect on the official actions of African administrators.[1] Of course the informal has a significant effect on the way formal roles are performed in American organizations too, as we have known for over half a century.[2] But the ideal of the separation of personal and job roles is very strong in the West, and it is possible to describe official actions there without referring to administrators' private obligations. Africa simply does not permit such a narrow, focused view. Kinship duties frequently impinge on work roles, and unless we understand how our four administrators handled the unofficial demands on their lives, we will not unlock some of the most important secrets to their official successes. READ MORE :


Chapter Twelve—

African Managerial Success:

Conclusions about Individuals

Many have expressed concern lately about the quality of public management in Africa.[1] The performance of Kenya's public organizations is generally held to be above average for the continent of Africa. But "above average" is still not satisfactory. Focusing on public corporations (parastatals), where performance can be quantified more easily, the Kenya government's Working Party on Government Expenditures found that "examples of unsound and poorly controlled investments can readily be found. . . . [The sector is frequently characterized by a] lack of advance planning, adequate safeguards for Government investment and good management, which has resulted in uncontrolled cost escalations, inefficient technologies and unprofitable enterprises."[2] Similarly, Barbara Grosh reports that half of the corporations she studied had serious problems.[3] READ MORE:
Source : African Successes
 
Jumanne Kishimba anaelezea matatizo makubwa ya Tanzania kushindwa kuona fursa :

"Leo wazungu wametengeneza mpaka mapapai ya miezi 6, wametengeneza kuku wa kizungu kwanini hao wataalamu wasilete miti ya miezi 6 ili watu wauze kuni na mkaa, lazima twende kwenye pesa" Jumanne Kishimba" - Jumanne Kishimba mbunge Kahama Mjini

 
Wakuu
Poleni na majukumu.

Katika kitabu cha Ndugu yetu Reginald Mengi alichochapisha KABLA hajaitwa na Baba mwenyezi.

Kitabu cha I can,I must and I Will kilieleza wakati ngumu Sana aliopitia na vikwazo vyake alivopitia wakati wa harakati zake kiuchumi enzi za uhai wake!Moja Kati ya malalamiko yake ni wazawa kutopewa kipaumbele na serikali kwenye fursa za uchumi kama waliyopewa wageni hasa Raia wenye asili Asia.

Kwamba Raia wenye asili ya Asia walipewa kipaumbele na sapoti ya kutosha katika uwekezaji wao kiuchumi KULIKO wazawa na Hii ilileta pengo kubwa la utajiri Kati ya wazawa na Raia Hawa wenye asili ya Asia Hadi leo.
Majina yanayowika kwenye uchumi wetu Hadi leo ni ya Hao raia KULIKO sisi wenyewe!!

Ni dola pekee inayoamua mambo hata wala sio utashi wa mtu mmoja na hilo hufanywa KWA sababu mbali mbali wanazijua wao.

Umefika wakati wa kubadili sera hii na sisi wazawa tuwe matajiri ndani ya nchi yetu wenyewe kama ilivyo huko marekani ambapo matajiri wazawa Ndio wameshikilia uchumi wa nchi hiyo Hadi leo.

Sioni faida tena KWA dola kuwapendelea wageni na kuwasahau wazawat kama ilivyo Sasa.

Pia kazi ya siasa kuwa ya malipo makubwa Sana KULIKO nyingine na kama ualimu,udaktari na nyinginezo ni kujali kundi dogo la watu kuacha Kundi kubwa la wananchi ambao wangesaidia kukuza mzunguko wa uchumi KULIKO Sasa.

Sera hizo mbili ambazo zimeratibiwa na wenye Dola zinapaswa kubadilika kuendana na nyakati za sasa!!

Naamini wenye dola watafanya Mabadiliko ya kimfumo kuelekea katiba Mpya ijayo Ili kuondoa Hali iliyopo inayowafanya wananchi kuwa watumwa katika nchi yao huku wageni wakiwa maboss!!

Naendelea kuamini yupo mtu anaandaliwa na dola ambaye atakuwa Rahisi kuendana na Mabadiliko hayo.
Mungu ibariki TANZANIA
Mwafrika umekuwa ni mtu wa kulalamika tu, kulalamika tu. Ukienda Ulaya unalalamika unabaguliwa. Ukienda Asia unalalamika unabaguliwa. Ukirudi nyumbani kwenu kabisa unalalamika unabaguliwa. Una nini wewe mwafrika? Hakika si bure! Ndiyo maana hata ilikuwa rahisi kabisa kuchukuliwa utumwani na kuswagwa kama n'gombe huku umefungwa mnyororo na aliyekuwa anakuuza ni mwafika mwenzako.
 
Mwafrika umekuwa ni mtu wa kulalamika tu, kulalamika tu. Ukienda Ulaya unalalamika unabaguliwa. Ukienda Asia unalalamika unabaguliwa. Ukirudi nyumbani kwenu kabisa unalalamika unabaguliwa. Una nini wewe mwafrika? Hakika si bure! Ndiyo maana hata ilikuwa rahisi kabisa kuchukuliwa utumwani na kusagwa kama n'gombe huku umefungwa mnyororo na aliyekuwa anakuuza ni mwafika mwenzako.
Fanya uchunguzi wa kina wa hicho nilichoandika KWANZA!!hakuna jambo linalotokea KWA Bahati MBAYA kila kitu unachokiona kinapangwa Duniani kote!!!

Wenye dola ndio wanapanga jamii ipi iwe matajiri wakubwa kwenye NCHI na sio vinginevyo!!!

UNAFIKIRI sisi hatufanyi KAZI!!? Yaani wote ni wavivu Hadi kina baakhresa,mondewji,manii,gsm wawe juu halafu asiwepo mzawa hata wawili wanaovuma kama hao jamaa!!?

FIKIRIA upya man!
 
Fanta uchunguzi wa kina wa hicho nilichoandika KWANZA!!hakuna jambo linalotokea KWA Bahati MBAYA keep la kitu unachokiona kinapangwa Duniani kote!!!

Wenye dola ndio wanapanga jamii ipi iwe matajiri wakubwa kwenye NCHI na sio vinginevyo!!!

UNAFIKIRI sisi hatufanyi KAZI!!? Yaani wote ni wavivu Hadi kina baakhresa,mondewji,manii,gsm wawe juu halafu asiwepo mzawa hata wawili wanaovuma kama hao jamaa!!?

FIKIRIA upya man!
Mimi nimebahatika kutembea dunia. Nakuhakikishia kuwa tatizo ni sisi wenyewe na tusitafute pa kutupa lawama. Kwanza mwafika ni mvivu. Pili ni mzembe. Tatu ni mwizi. Nne anaridhika mapema. Tano anaendekeza ngono. Sita ni mbinafsi na anataka yeye tu ndiye aonekane tajiri au mjanja.
 
Wakuu
Poleni na majukumu.

Katika kitabu cha Ndugu yetu Reginald Mengi alichochapisha KABLA hajaitwa na Baba mwenyezi.

Kitabu cha I can,I must and I Will kilieleza wakati ngumu Sana aliopitia na vikwazo vyake alivopitia wakati wa harakati zake kiuchumi enzi za uhai wake!Moja Kati ya malalamiko yake ni wazawa kutopewa kipaumbele na serikali kwenye fursa za uchumi kama waliyopewa wageni hasa Raia wenye asili Asia.

Kwamba Raia wenye asili ya Asia walipewa kipaumbele na sapoti ya kutosha katika uwekezaji wao kiuchumi KULIKO wazawa na Hii ilileta pengo kubwa la utajiri Kati ya wazawa na Raia Hawa wenye asili ya Asia Hadi leo.
Majina yanayowika kwenye uchumi wetu Hadi leo ni ya Hao raia KULIKO sisi wenyewe!!

Ni dola pekee inayoamua mambo hata wala sio utashi wa mtu mmoja na hilo hufanywa KWA sababu mbali mbali wanazijua wao.

Umefika wakati wa kubadili sera hii na sisi wazawa tuwe matajiri ndani ya nchi yetu wenyewe kama ilivyo huko marekani ambapo matajiri wazawa Ndio wameshikilia uchumi wa nchi hiyo Hadi leo.

Sioni faida tena KWA dola kuwapendelea wageni na kuwasahau wazawat kama ilivyo Sasa.

Pia kazi ya siasa kuwa ya malipo makubwa Sana KULIKO nyingine na kama ualimu,udaktari na nyinginezo ni kujali kundi dogo la watu kuacha Kundi kubwa la wananchi ambao wangesaidia kukuza mzunguko wa uchumi KULIKO Sasa.

Sera hizo mbili ambazo zimeratibiwa na wenye Dola zinapaswa kubadilika kuendana na nyakati za sasa!!

Naamini wenye dola watafanya Mabadiliko ya kimfumo kuelekea katiba Mpya ijayo Ili kuondoa Hali iliyopo inayowafanya wananchi kuwa watumwa katika nchi yao huku wageni wakiwa maboss!!

Naendelea kuamini yupo mtu anaandaliwa na dola ambaye atakuwa Rahisi kuendana na Mabadiliko hayo.
Mungu ibariki TANZANIA
Ni ngumu sana kuitangua torati
 
Wakuu
Poleni na majukumu.

Katika kitabu cha Ndugu yetu Reginald Mengi alichochapisha KABLA hajaitwa na Baba mwenyezi.

Kitabu cha I can,I must and I Will kilieleza wakati ngumu Sana aliopitia na vikwazo vyake alivopitia wakati wa harakati zake kiuchumi enzi za uhai wake!Moja Kati ya malalamiko yake ni wazawa kutopewa kipaumbele na serikali kwenye fursa za uchumi kama waliyopewa wageni hasa Raia wenye asili Asia.

Kwamba Raia wenye asili ya Asia walipewa kipaumbele na sapoti ya kutosha katika uwekezaji wao kiuchumi KULIKO wazawa na Hii ilileta pengo kubwa la utajiri Kati ya wazawa na Raia Hawa wenye asili ya Asia Hadi leo.
Majina yanayowika kwenye uchumi wetu Hadi leo ni ya Hao raia KULIKO sisi wenyewe!!

Ni dola pekee inayoamua mambo hata wala sio utashi wa mtu mmoja na hilo hufanywa KWA sababu mbali mbali wanazijua wao.

Umefika wakati wa kubadili sera hii na sisi wazawa tuwe matajiri ndani ya nchi yetu wenyewe kama ilivyo huko marekani ambapo matajiri wazawa Ndio wameshikilia uchumi wa nchi hiyo Hadi leo.

Sioni faida tena KWA dola kuwapendelea wageni na kuwasahau wazawat kama ilivyo Sasa.

Pia kazi ya siasa kuwa ya malipo makubwa Sana KULIKO nyingine na kama ualimu,udaktari na nyinginezo ni kujali kundi dogo la watu kuacha Kundi kubwa la wananchi ambao wangesaidia kukuza mzunguko wa uchumi KULIKO Sasa.

Sera hizo mbili ambazo zimeratibiwa na wenye Dola zinapaswa kubadilika kuendana na nyakati za sasa!!

Naamini wenye dola watafanya Mabadiliko ya kimfumo kuelekea katiba Mpya ijayo Ili kuondoa Hali iliyopo inayowafanya wananchi kuwa watumwa katika nchi yao huku wageni wakiwa maboss!!

Naendelea kuamini yupo mtu anaandaliwa na dola ambaye atakuwa Rahisi kuendana na Mabadiliko hayo.
Mungu ibariki TANZANIA
Jibu rahisi ni kwa mifano ya Arusha na Dar es salam wenyeji,/wazawa wamepitwa kwa mbali na wahamiaji kiuchumi kwenye miji yao.
Wazawa weusi Tz hatuna nidhamu ya fedha kwenye biashara kama wahindi na waarabu,pita Arusha uone wale mabilionea wa Tanzanite kwa sasa walivyo pitwa na ngozi nyeupe wauza maduka kiuchumi
Lini ulisikia. Mo, GSM au Rostam wakimwaga minoti kweye matamasha ya muziki ili waitwe mapedeshee?
 
Lakini ukweli lazima usemwe pia kwamba hatupendani wenyewe kwa wenyewe. Hata jirani zetu hutushangaa sana! Ila tuko wepesi kweli kugeuka na kujisifu "nchi ya amani". Nadhani maana halisi ya amani tunayoihitaji hatujaifahamu bado. Safari bado ni ndefu.
 
Wakuu
Poleni na majukumu.

Katika kitabu cha Ndugu yetu Reginald Mengi alichochapisha KABLA hajaitwa na Baba mwenyezi.

Kitabu cha I can,I must and I Will kilieleza wakati ngumu Sana aliopitia na vikwazo vyake alivopitia wakati wa harakati zake kiuchumi enzi za uhai wake!Moja Kati ya malalamiko yake ni wazawa kutopewa kipaumbele na serikali kwenye fursa za uchumi kama waliyopewa wageni hasa Raia wenye asili Asia.

Kwamba Raia wenye asili ya Asia walipewa kipaumbele na sapoti ya kutosha katika uwekezaji wao kiuchumi KULIKO wazawa na Hii ilileta pengo kubwa la utajiri Kati ya wazawa na Raia Hawa wenye asili ya Asia Hadi leo.
Majina yanayowika kwenye uchumi wetu Hadi leo ni ya Hao raia KULIKO sisi wenyewe!!

Ni dola pekee inayoamua mambo hata wala sio utashi wa mtu mmoja na hilo hufanywa KWA sababu mbali mbali wanazijua wao.

Umefika wakati wa kubadili sera hii na sisi wazawa tuwe matajiri ndani ya nchi yetu wenyewe kama ilivyo huko marekani ambapo matajiri wazawa Ndio wameshikilia uchumi wa nchi hiyo Hadi leo.

Sioni faida tena KWA dola kuwapendelea wageni na kuwasahau wazawat kama ilivyo Sasa.

Pia kazi ya siasa kuwa ya malipo makubwa Sana KULIKO nyingine na kama ualimu,udaktari na nyinginezo ni kujali kundi dogo la watu kuacha Kundi kubwa la wananchi ambao wangesaidia kukuza mzunguko wa uchumi KULIKO Sasa.

Sera hizo mbili ambazo zimeratibiwa na wenye Dola zinapaswa kubadilika kuendana na nyakati za sasa!!

Naamini wenye dola watafanya Mabadiliko ya kimfumo kuelekea katiba Mpya ijayo Ili kuondoa Hali iliyopo inayowafanya wananchi kuwa watumwa katika nchi yao huku wageni wakiwa maboss!!

Naendelea kuamini yupo mtu anaandaliwa na dola ambaye atakuwa Rahisi kuendana na Mabadiliko hayo.
Mungu ibariki TANZANIA

Walioporwa mali na biashara zao kutaifishwa wakati wa Azimio la Arusha wengi walikuwa ni WaAsia. Mpaka leo hawajalipwa fidia au kurudishiwa mali zao. Sasa hiyo dola ilikuwa wapi?
 
Jumanne Kishimba anaelezea matatizo makubwa ya Tanzania kushindwa kuona fursa :

"Leo wazungu wametengeneza mpaka mapapai ya miezi 6, wametengeneza kuku wa kizungu kwanini hao wataalamu wasilete miti ya miezi 6 ili watu wauze kuni na mkaa, lazima twende kwenye pesa" Jumanne Kishimba" - Jumanne Kishimba mbunge Kahama Mjini

Hiki kichwa kingesoma kingetesa sana
 
Ukienda Ulaya unalalamika unabaguliwa. Ukienda Asia unalalamika unabaguliwa. Ukirudi nyumbani kwenu kabisa unalalamika unabaguliwa. Una nini wewe mwafrika? Hakika si bure! Ndiyo maana hata ilikuwa rahisi kabisa kuchukuliwa utumwani na kuswagwa kama n'gombe huku umefungwa mnyororo na aliyekuwa anakuuza ni mwafika mwenzako.

Imefikia sasa 2022 kuna stori za waTanzania kusafiri hapa karibu Zimbabwe kuuza vidole vya miguu yetu, hatuna ndoto za kuvuka bahari kusaka fursa za kweli huko mambele .
 
Inasikitisha sana, hii tabia ya Waafrika kujiliza ifike mwisho sasa.
Mwafrika umekuwa ni mtu wa kulalamika tu, kulalamika tu. Ukienda Ulaya unalalamika unabaguliwa. Ukienda Asia unalalamika unabaguliwa. Ukirudi nyumbani kwenu kabisa unalalamika unabaguliwa. Una nini wewe mwafrika? Hakika si bure! Ndiyo maana hata ilikuwa rahisi kabisa kuchukuliwa utumwani na kuswagwa kama n'gombe huku umefungwa mnyororo na aliyekuwa anakuuza ni mwafika mwenzako.
 
Back
Top Bottom