Khakha
JF-Expert Member
- Jul 15, 2009
- 2,981
- 1,013
wakuu jf,
nimetoka kuhesabiwa sasa hivi. nina furaha sana. karani kanambia hakupata matatizo yoyote huku mbezi morogoro rd na mimi nimekuwa ni mtu wa mwisho ktk eneo letu. kaweka tick mlangoni kanambia anapeleka makabrasha nyumbani kwake halafu huyooooooooo CHIKAS PUB mbezi luisi akale bata. vipi mwananyamala na tandika hukooooooo?
nimetoka kuhesabiwa sasa hivi. nina furaha sana. karani kanambia hakupata matatizo yoyote huku mbezi morogoro rd na mimi nimekuwa ni mtu wa mwisho ktk eneo letu. kaweka tick mlangoni kanambia anapeleka makabrasha nyumbani kwake halafu huyooooooooo CHIKAS PUB mbezi luisi akale bata. vipi mwananyamala na tandika hukooooooo?