zoezi Dar limefeli kabisa waislam wengi bado wamesimamia msimamo wao wa kutohesabiwa, nimepita misikitini nimekuta watu wengi wakiendelea na ibada kwa siku saba, mfano kata ya magomeni nyumba zilizoandikwa ni 30 kwa mujibu wa karani wa sensa nyumba nyingi hawataki kuandikishwa.
Nimesubiri kuhesabiwa tangu asubuhi hapa Mbezi beach mpaka mida hii hakuna cha karani wala mjube kapita,sasa najiuliza kama wasipokuja leo itakuwaje maana mimi na mume wangu ni watu wa kuhangaika na tukitoka wote kunabaki mlinzi?
Nimesubiri kuhesabiwa tangu asubuhi hapa Mbezi beach mpaka mida hii hakuna cha karani wala mjube kapita,sasa najiuliza kama wasipokuja leo itakuwaje maana mimi na mume wangu ni watu wa kuhangaika na tukitoka wote kunabaki mlinzi?
Dah....!! Sasa wale waliokuwa na madada poa ilikuwaje? Nao wanahesabiwa??
Mpaka sasa, idadi kubwa ya waislamu wamegoma laivu bila kujificha. Msikubali kudanganywa. Watu wengi nilio ongea nao wameniambia wamekataa kuandikishwa. Nimeaongea na mwandishi mmoja wa sensa akaniambia hali ni tete serekali imekula hasara kwa kiburi chao. Tunasubiri mswada bungeni wa kutokua na imani na rahisi. Tuchague raisi mwengine.
Watakuja tu
kama vipi nenda kwa mwenyekiti uulize
hongera kwa kuwa Platinum member
Nimekwenda kwa mjumbe sijamkuta nilitaka nimwachie details za familia yangu. Platnum member yes ilibidi nisitishe shopping na mambo mengine ili nichangie JF!
mkitoka mnaacha taarifa kwa mlinzi....
mzimu una uhakika na taarifa yako?!
Mtaani kwetu ni wengi waislam na wamekubali kuhesabiwa!
Hao wanogoma ni wajinga wanaofuata mkumbo!
Hapa mtaani wapo waliogoma na wameambia waende kwa mjumbe jioni kutoa maelezo.
Mpaka sasa, idadi kubwa ya waislamu wamegoma laivu bila kujificha. Msikubali kudanganywa. Watu wengi nilio ongea nao wameniambia wamekataa kuandikishwa. Nimeaongea na mwandishi mmoja wa sensa akaniambia hali ni tete serekali imekula hasara kwa kiburi chao. Tunasubiri mswada bungeni wa kutokua na imani na rahisi. Tuchague raisi mwengine.
Mimi na familia yangu si wa-isilamu lakini hatujaesabiwa, nimekaa nyumbani mpaka nimechoka sasa: Ngoja niende mitaani kucheki mechi.
tabata in Dar es salaam