mtemi mazengo
Member
- Jul 21, 2012
- 26
- 3
naungana na wewe kaka, baada ya kupata hii habari nimewasiliana na jamaa hapa manispaa wamesema ni kweli TOOLS DOWN, vifaa hakuna mkoani wameagiza darWewe Ukwaju ni muongo na Mzushi mkubwa, nina shaka wewe utakuwa ni mmoja wa wadhaifu.Ukweli ni kwamba vifaa hakuna hata hapa Dodoma mjini hakuna na kama unakumbuka mimi jana nilizungumza kuhusu hilo na wenye akili timamu wote walielewa isipokuwa wewe tu ambae ni dhaifu