Gazeti la Mwananchi uk 7, leo kuna picha ikiwaonyesha wanafunzi wa Seminary ya Markaz wakicheza karti wakati wa Mahafali ya Form 4.
Kwa muda sasa imekuwa ikidaiwa kuna Misikiti kadhaa, Waumini hupatiwa mafunzo hayo baada ya swala za maghreb, madai hayo yamekuwa yakiambatana na madai kuwa hayo ni maandalizi kwa ajili ya siku itakapotokea vita kati ya Waislamu na Wakristo.
Najiuliza, mafunzo hayo ya kareti hadi Misikitini, yana nia gani?
Kwa muda sasa imekuwa ikidaiwa kuna Misikiti kadhaa, Waumini hupatiwa mafunzo hayo baada ya swala za maghreb, madai hayo yamekuwa yakiambatana na madai kuwa hayo ni maandalizi kwa ajili ya siku itakapotokea vita kati ya Waislamu na Wakristo.
Najiuliza, mafunzo hayo ya kareti hadi Misikitini, yana nia gani?