mpemba mbishi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2011
- 1,132
- 185
.Hii nayo thread ya kujadili! Kweli ujinga uliopo hapa jamiiforums ni zaidi ya social network!
mbona povu jingi kumbe ni kweli sasa watu wamejua wazi risasi utaiiga karate just wait an seeTafuta kazi ufanye Mkuu!
Kama kweli una mawazo kama ulivyo yawakilisha hapo juu au hata kwa utani, UTAKUWA UMEKOSEA SANA. Naamini hata uisilamu haufundishi kukata viungo vya albinoa na kuchuna ngozi na kuuwa vikongwe kama ulivyosema hapo juu.
Hayo ni mawazo na kazi ya kishetani. Kwa kuwa umeyatamka, hata wewe ni mfuasi wa kishetani na sio we kislam wala sio wa kikristo.
Pole sana kwa kupotea na kuingia gizani. Ushauri wa bure, tafuta njia ya kutoka huko uliko. NAKUSIKITIKIA SANA.
Sijui kama ni vema kufikiria mazingira ya huko Doha, Qatar unakoishi, na kukuuliza je huko pia kuna Albino? na unachuna ngozi za watu huko pia kuua vikongwe? au unapendelea mawazo yako yafanywe hapa Tanzania tu?
Gazeti la Mwananchi uk 7, leo kuna picha ikiwaonyesha wanafunzi wa Seminary ya Markaz wakicheza karti wakati wa Mahafali ya Form 4.
Kwa muda sasa imekuwa ikidaiwa kuna Misikiti kadhaa, Waumini hupatiwa mafunzo hayo baada ya swala za maghreb, madai hayo yamekuwa yakiambatana na madai kuwa hayo ni maandalizi kwa ajili ya siku itakapotokea vita kati ya Waislamu na Wakristo.
Najiuliza, mafunzo hayo ya kareti hadi Misikitini, yana nia gani?
Kuna Misikiti inatowa mafunzo ya Kigaidi na Markaz ni one of them. tusibishane kwenye hili.
Labda nikupe suala kidogo.
1.Je ni nchi gani duniyani ambayo raia wake wanaua Vikongwe, Kukata viungo vya albino, na kuchuna ngozi?
2. Je maeneo gani ya nchi hiyo?
Gazeti la Mwananchi uk 7, leo kuna picha ikiwaonyesha wanafunzi wa Seminary ya Markaz wakicheza karti wakati wa Mahafali ya Form 4.
Kwa muda sasa imekuwa ikidaiwa kuna Misikiti kadhaa, Waumini hupatiwa mafunzo hayo baada ya swala za maghreb, madai hayo yamekuwa yakiambatana na madai kuwa hayo ni maandalizi kwa ajili ya siku itakapotokea vita kati ya Waislamu na Wakristo.
Najiuliza, mafunzo hayo ya kareti hadi Misikitini, yana nia gani?
Ni uchakachuzi usio na msingi zaidi ya kujidhalilisha. Hakuna kitu kama SEMINARI ZA KIISLAM. Seminary ni shule za kikristu na hasa kikatoliki. Angalie kwenye dictionary zako zote ulizonazo maktaba na online. Hizo shule za kiislam kufundisha karate mie sina shida ni sehemu ya mazoezi na michezo.
Vyovyote vile iwavyo, iwe wana lengo zuri au abya katika kufanya hayo mafunzo ninachojua ni kwamba shtani hataweza kufanikisha kile alichokusudia katika nchi hii. Watu wa Mungu wakweli wanaendelea kumdhibiti kwa njia ya maombi katika ulimwengu wa roho; hatafanikiwa. Kushindana kwetu sisi , si juu ya damu na nyama, bali ni juu ya falme na mamlaka, juu ya wakuu wa giza na juu ya majeshi ya pepo wabaya katika ulimwengu wa roho