Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,770
- 225,513
Kuna ndugu yetu huko Mbeya ametuletea Pep kuwa shemeji yetuNani mnamuoza aseee 🦁🦁
Kuna ndugu yetu huko Mbeya ametuletea Pep kuwa shemeji yetuNani mnamuoza aseee 🦁🦁
🦍🦍🦍🦍Kuna ndugu yetu huko Mbeya ametuletea Pep kuwa shemeji yetu
Mkuu mimi urefu wa kamba yangu unaniruhusu kuwa na bodyguardKuna mtu anakuroga ukose chombooo mkuu.. lete pesa nikuambie.. nivujishw pepaaaaa 🤕🤕
Unachokitafuta huko mbogamboga utakipata🤣🤣🤣.🤣🤣🤣
Kwanini niende lockup?
Ni vile nimetaja jina la bodyguard wangu?
Pengine hujui, but siku hizi tunaruhusiwa mbona kuwataja hawa wanausalama.
So I don't get your point mtoto mzuri, Saint
Bodyguard mwenyewe mbona ana njaaa huyo 😂😂😂Mkuu mimi urefu wa kamba yangu unaniruhusu kuwa na bodyguard
Mtu mwenye bodyguard halogekagi...
Respek, mkuuSiku imekwishaaa.. 🤕🤕🤕View attachment 2086523
Jichezee mwenyewe
Duuuh kumbe unadili na ma super computers networking
😊😊 Hiyo ni upande wa power katika data center.. Ingawa pia Networking, Cyber security, Electrical, Mechanical na Trade nimekwivaa 😂😂😂😂.. na utapeli juuuu.. ukizungumza na mie dk tano naweza nikakutapeliii na kukuibia 😊😊😊😊😊😊.. hii dunia inahitaji uwe multipurposeDuuuh kumbe unadili na ma super computers networking
🦥🦥 bila taarifaaa eeeh
Shemeji mkubwa amenilima dislikes hadi PC ime stuck.Unachokitafuta huko mbogamboga utakipata🤣🤣🤣.
Wapumzishe basi ndugu zangu😁,shemeji zako hao🤣
Hiyo taarifa batili.. bakini hukoo hukoooo 🤕🤕🤕🔪🔪🔪Hapana, ndiyo tunajiandaa kuleta official news
hii ngoma imekazaaa.. sijui. leo itaachiaaa 😂😂😂😂Duuuh kumbe unadili na ma super computers networking
Hiyo taarifa batili.. bakini hukoo hukoooo
Akupige hivyohivyo .Shemeji mkubwa amenilima dislikes hadi PC ime stuck.
Hajapenda mimi kutaja jina la bodyguard wangu
acha nikanywe uji wa mchele mchele kwa kina Chakorii nikirudiii kila mmoja ashike njia yake 🦍🦍🦍(Running for my dear life)
Kwa Mimi huwezi, nishakwepa mishale mingi mkuu. Kwa hiyo upo upande wa electric au data centerHiyo ni upande wa power katika data center.. Ingawa pia Networking, Cyber security, Electrical, Mechanical na Trade nimekwivaa .. na utapeli juuuu.. ukizungumza na mie dk tano naweza nikakutapeliii na kukuibia .. hii dunia inahitaji uwe multipurpose
😂😂😂 sio kila mshale unakwepwaaa mingine haikwepekiKwa Mimi huwezi, nishakwepa mishale mingi mkuu
ahaaa katoto ritooo 🤗🤗🤗🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣