Wee kaka bila kunitaja huridhiki eeeeh? Unawashwa sana ukiniona? Sio wa mfano ktk mambo yenu, tuheshimiane samahani sana, tena kuwa na adabu na uishikilie.
Nijie taratibuuu, huo mwendo sio wenyewe, utaharibikiwa bureee.
Umekosa wa kutolea mfano eeeeh? Sijaamka na wee leo na sihitaji kuamka nawee.
Heshima ifuate mkondo wake. Msieeeeeeew