Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Heaven Sent
Hivi the so called amplified bible uwa inatumiwa na watu gani?
Mf. Hapa kiTz

7bu iko wazi kila dhehebu wana biblia zao.. biblia ya Msabato ukiingia nayo Katoliki lazima mpishane na msoma neno.

Amplified biblia ni ya wapi? Au ni ya abroad pipo? Na je inafata muongozo wa KJV?

Ni kwa ajili ya watu wote tu. Pastors wanaitumia pia; japo ni kama imetengenezwa kwa ajili ya Learners kwa sababu inafafanua na kutoa maana zaidi ya moja ya Neno.
Yes inafuata muongozo wa KJV
 
Back
Top Bottom