Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Sawa MkuuKupitia huo mkono nimeona vingi sana
Sawa MkuuKupitia huo mkono nimeona vingi sana
NakaziaaYeah sana
😂😂😂😂😂😂😂😂 yan hadi nimejiangaliawatu na vidole vyenu,, wenye vidole kama virungu vya band tunacomment wapi??
Ndiwooo
Utakuwa wa kwanza dear!! Nimekutana na dada ila kumbe ni tulijuana kitaambo kabla ya JF, so daamu zilivutana!
Niliwafungulia nikijua mtakuja naona mkaleft woote jamani!!
Mshana alikuja kurudi akakuta nishafanya maamuzi magumu! Sema ilikuwa wazi zaidi ya lisaa mdogo wangu mzuri mzuri

Wewe huyooo
ushaniona mie sielewi akii
Toka lini eti jamani Mangi!
Haki sijui umekula nini
Mangi
Nini kimekupata tuu jamaniii!!
Hahahaha Mangi huyohuyo tunayemjua dadaHebu niambie tuu jamani
Huyu ni yule Mangi tunayemuogopaga eti mdogo wangu, au ni Mangi Rapa



hamna picha niliyoweka vidole vyangu humu hata kwa bahati mbaya
Kwenye selfie
Anataka kukugawaMnaongelea vinini tena jamani??
Karibuuu mweeeh! Nakusubiria hapa IAA tumia gugo map ufike chap
Ukijibiwa uniite twende wotewatu na vidole vyenu,, wenye vidole kama virungu vya band tunacomment wapi??
Kwenye huo ugali nitaongezea kununua samakiNjoo kwetu mepika ugali na mlenda
Ukishindwa ntakupa keki na mirinda nyeusi



thibitisha kauli yako kwamba wewe ni mpole
Weeeeh!! Na upole huu msinisingizie jamani![]()
YaaniUngeniambia ningeghairi
Yeah, tayari nishakuwa mzee. Kwani unadhani uzee unaanzia umri gani bintiKwani kweli wewe mzee??
Hamna mzee hapoKwani kweli wewe mzee??