Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Mmhh mtu wa kwanza kukutana naye?? Wa hapa JF?? Ina maana haujawahi kukutana na mtu yeyote wa JF??



Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika??






Halafu muongo haukufungua mbona Mshana Jr anasema ulimkimbiza hadi kwa waziri mkuu halafu haukufika??



Ndiwooo
Tutakutana dear!
Wala huu mwaka hautaisha....
Naomba uwe mtu wa kwanza mimi kukutana naye! Najua wewe ni kadogo nitakuonea tuu!!
Ulichonifanya jana na Mshana sina hamu! Mewasubiri mpaka nikachokaa, halafu mlileft pamoja haki!





