Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tukikutana??Karne ya ngapi hiyo?? Kwa upande wangu ningependa sana kukutana na wewe ila wewe najua unanidanganya tu

Daah kwahiyo ndiyo golden chance never comes twice,, nifungulie tena jamani..
Ndiwooo
Tutakutana dear!
Wala huu mwaka hautaisha ....

Naomba uwe mtu wa kwanza mimi kukutana naye! Najua wewe ni kadogo nitakuonea tuu!!

Ulichonifanya jana na Mshana sina hamu! Mewasubiri mpaka nikachokaa, halafu mlileft pamoja haki!
 
Back
Top Bottom